Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,610
- 59,581
Nimecheka kwa hasira hapo ulikimbia wapi😂😂😂😂
Nimecheka kwa hasira hapo ulikimbia wapi😂😂😂😂
Nipoo mie😂😂Nimecheka kwa hasira hapo ulikimbia wapi
Haya sawa 03:13Nipoo mie😂😂
Mimi walikamata, wakaniuua.Poker anakwambia kila akifanya ujambazi wenzie wote wanakufa anabaki yeye mara ya mwisho kaporochoka makaburini kakurupushana na wachawi kaenda kuibukia msikitini
Wewe mnafafana kwani ?Ivi GUYS.. kwanini wanandoa wakikaa muda mrefu, kunawakati unafika unaona kama wanafana vile😂😂😂 like siblings 😁😁😁why?
Dah... hata daku hakijaeleweka bado....dahDuh saa kumi kasoro kumbe
Basi subiri mkae kwanza mda mrefu mtafanana tu maana ntakua msharuka majaba mengi ya mpunga yaan mshasomana kwa hio lazima😂😂😂badoo hatujakaa muda mrefuu
😂😂😂Nipo Tu chumba cha Jirani yangu mkewe karudi toka safari Yan Leo hawalali Kwa mizagamuano shida napata Mimi jiran yao
03:43Dah... hata daku hakijaeleweka bado....dah