JamiiForums Usiku wa manane
Poker anakwambia kila akifanya ujambazi wenzie wote wanakufa anabaki yeye mara ya mwisho kaporochoka makaburini kakurupushana na wachawi kaenda kuibukia msikitini
Mimi walikamata, wakaniuua.
👉Mwili wangu wakampa paka, paka akapewa sumu.
👉Alivyokufa, akaliwa na kunguru, kunguru akapigwa shoti.
👉akageuka Moshi, 🤣🤣- so unaona uhatari wanguuu stow away
 
Ivi GUYS.. kwanini wanandoa wakikaa muda mrefu, kunawakati unafika unaona kama wanafanana vile😂😂😂 like siblings 😁😁😁why?
 
Back
Top Bottom