Kwaio wewe unaweza kupiga miyao(yawn) ukiwa umelala? 😂 😂 😂 😂Yaan hapo nimekupa short clip au unataka full clip
Utaisikia tuu muda bado maybe03:46
Leo jogoo wamewika km kawaida na saa 7 waliwika hazana hakuna
Nikiwa nasinzia naweza kufanya kitu kimoja tu nikiwa nimelala, naweza kuchekaKwaio wewe unaweza kupiga miyao(yawn) ukiwa umelala? 😂 😂 😂 😂
Unajuaje? 😂Nikiwa nasinzia naweza kufanya kitu kimoja tu nikiwa nimelala, naweza kucheka
Jana walipoga saa 9Utaisikia tuu muda bado maybe
Subiri utaiskia 04:00Jana walipoga saa 9
03:49
Ratiba zao hazieleweki
Nilipokua mtoto nilikua nacheka huku nimelala sasa hio tabia nmekua nayo Kuna zile ndoto unakuta unaota unaanza kufurahi sasa mimi hua namwaga kicheko, mama anasema alipokua akinishtua nilikua nalia enzi hizo nipo katoto sasa nmekua nayo nipo hivyo tu nacheka usingizini buhahahaUnajuaje? 😂
Hio ni Swalaaaaaaa Swalaa inapigwa saa 11 saa 10 hawapigiSubiri utaiskia 04:00
😂😂Inatisha hiii.. Emagine umelala na mtu alafu anakuchekaa buhaahaaha😀😀😀Nilipokua mtoto nilikua nacheka huku nimelala sasa hio tabia nmekua nayo Kuna zile ndoto unakuta unaota unaanza kufurahi sasa mimi hua namwaga kicheko, mama anasema alipokua akinishtua nilikua nalia enzi hizo nipo katoto sasa nmekua nayo nipo hivyo tu nacheka usingizini buhahaha
Huku kwetu wanapiga mbona, 😂😂Hio ni Swalaaaaaaa Swalaa inapigwa saa 11 saa 10 hawapigi
Itabidi uzoee na napenda kulala mwenyewe wote niliowahi kulala nao asubuhi lazima waulize Jana usiku ulikua unacheka nini?😂😂Inatisha hiii.. Emagine umelala na mtu alafu anakuchekaa buhaahaaha😀😀😀
Hazana ? Mda huu ?Huku kwetu wanapiga mbona, 😂😂
Ndioo ya kula daku😀Hazana ? Mda huu ?
Huku hamna aisee hii ratiba yao ipoje au muazini kapitiwaNdioo ya kula daku😀
MaybeHuku hamna aisee hii ratiba yao ipoje au muazini kapitiwa