JamiiForums Usiku wa manane
Si unajua ukiumwa ukorofi unazidi. Yaani mimi kwa maono yangu nazioma zile ID zako zingine mbili zenye O 🤐🤐🤐🙄🙄🙄🙄🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Bantu Lady sina ID nyingine..
Unataka Intelligent businessman aanze kunipa majina mengine ya ajabu humu...
Mi ID yangu ni hi hi till naingia jf hapa
🤓🤓🤓🤓 Hiyo ID unaozania ni ipi
 
Mm kununa mwisho ni masaa 24 siwez nunazaidi ya hapo hivo usijal😀😀😀
Nisameheee maana Leo nimeenda ugenini, Kisha nikaenda kwenye chumba.
👉Nikakutana ka mtungi kadogo keupe, nikawaza🤔 yaani wanaficha maji hukuuu ehh
👉Kuwakomesha nikaona niyanywee, dah ni machachu hayo Kama ndimu aisee🙉🙊😁🤣 Aaliyyah
 
Mimi nakukaanga kwenye mafuta yaliyochemka, lazima ukaangike... ukitoka hapo huna ngozi, mdomo umefumbwa... No malice to nobody ☺☺☺☺☺
Nikitoka hapo, nakufinyanga Kama tonge la ugali, kiSha nalitupa liliwe na paka.
👉Huyo paka akilila afe, akifa mzoga wake uliwe na kunguru.
👉Kunguru apigwe na shoti apotee Kama Moshi🤣😁 Bantu Lady
I mean no malice to nobody
 
Back
Top Bottom