JamiiForums Usiku wa manane
Yaaah huku mtu akitoboa kwa talent jua ni real ana hiyo talent an yupo full
Ila kuna wengine ambao wanapambana school ili end of day aendee ile talent yake.
Ambayo ilikua ni weak talent. Ndo mana nasema huku kutoboa kwa talent basi achana na kila kitu wee focus na talent yako.
Tunajitafuta sana mkuu daah
I will continue tomorrow
 
Back
Top Bottom