JamiiForums Usiku wa manane
Jamiiforums:Usiku wa manane
IMG_20230309_000444.jpg
 
Kikubwa unajiweza ...
Kama mtu ujiwezi elimu itakua ndo mtaji
Brother talent ipo broad

We can categorize talent in two ways moja Ya darasani, mbili out of field ( ya nje ya darasa, hapa unaona wachezaji mpira, waimba muziki, wachoraji nk)

For our developing countries ni mara chache Sana mtu mwenye outfield talent kufanikiwa kimaisha sijasema mwenye talent Namba moja ya darasani wote hufanikiwa Hapana lakini Atleast mwenye talent ya darasani anakua recognised easily hii ni kwa hizi nchi zetu, kuwa na talent na kuwa fully recognised kwa talent namba mbili kwa hizi nchi zetu ni kitu kigumu Sana

So.... Eeh nasinzia mkuu tutaongea Kesho 😁
 
Brother talent ipo broad

We can categorize talent in two ways moja Ya darasani, mbili out of field ( ya nje ya darasa, hapa unaona wachezaji mpira, waimba muziki, wachoraji nk)

For our developing countries ni mara chache Sana mtu mwenye outfield talent kufanikiwa kimaisha sijasema mwenye talent Namba moja ya darasani wote hufanikiwa Hapana lakini Atleast mwenye talent ya darasani anakua recognised easily hii ni kwa hizi nchi zetu, kuwa na talent na kuwa fully recognised kwa talent namba mbili kwa hizi nchi zetu ni kitu kigumu Sana

So.... Eeh nasinzia mkuu tutaongea Kesho
Mfumo hauko rafiki,halafu kuna kitabia cha wazazi kunokolea mtoto asijiingize kwenye michezo asome tu ndiyo atafanikiwa,mifumo haipokei mwenye talent kufanikiwana mwenye ufaulu mkubwa kutoka yani waliofanikiwa ni wale walikua wanazungusha sana class ni watoto wa matajiri mawaziri wakuu wa nchii
 
Brother talent ipo broad

We can categorize talent in two ways moja Ya darasani, mbili out of field ( ya nje ya darasa, hapa unaona wachezaji mpira, waimba muziki, wachoraji nk)

For our developing countries ni mara chache Sana mtu mwenye outfield talent kufanikiwa kimaisha sijasema mwenye talent Namba moja ya darasani wote hufanikiwa Hapana lakini Atleast mwenye talent ya darasani anakua recognised easily hii ni kwa hizi nchi zetu, kuwa na talent na kuwa fully recognised kwa talent namba mbili kwa hizi nchi zetu ni kitu kigumu Sana

So.... Eeh nasinzia mkuu tutaongea Kesho 😁
Yaaah huku mtu akitoboa kwa talent jua ni real ana hiyo talent an yupo full
Ila kuna wengine ambao wanapambana school ili end of day aendee ile talent yake.
Ambayo ilikua ni weak talent. Ndo mana nasema huku kutoboa kwa talent basi achana na kila kitu wee focus na talent yako.
Tunajitafuta sana mkuu daah
 
Back
Top Bottom