Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,578
- 66,234
Na leo pia ana mgeni natoa siri 😂😂 pis inatoka makumbushoDaaah! Ila wewe jamaa noma Mwachiluwi hasingeweza pisi ijipeleke getoni kwake 🤔
Na leo pia ana mgeni natoa siri 😂😂 pis inatoka makumbushoDaaah! Ila wewe jamaa noma Mwachiluwi hasingeweza pisi ijipeleke getoni kwake 🤔
Mkuu mi wananijua if we are friends, Basi itabaki hivyo tu. Ndo Mana yule wa majuzi alinikomoaaaDaaah! Ila wewe jamaa noma Mwachiluwi hasingeweza pisi ijipeleke getoni kwake 🤔
Intelligent businessman anatudanganya aisee hizi pisi hazitoki salama getoni hakuna kitu kama hicho hata ajitetee vipi😀Na leo pia ana mgeni natoa siri 😂😂 pis inatoka makumbusho
Na ukashindwa vumilia ukamla kimya kimya ukajifuta ili usijulikaneMkuu mi wananijua if we are friends, Basi itabaki hivyo tu. Ndo Mana yule wa majuzi alinikomoaaa
Mwachiluwi yule best Kuna inshu tulikuwa tunajadili, so tulivyomaliza Kuna series tulikuwa tunacheck ndo akaforce kulala hovyo vileNdio atoke ushinde nae ww ukiwa umevaa bukta ya simba yeye khanga moja kweli
Tena una ambiwa ni mkaksi snaIntelligent businessman anatudanganya aisee hizi pisi hazitoki salama getoni hakuna kitu kama hicho hata ajitetee vipi😀
Tena move yenyew ulisema inashawishi action za love zilikuwa nying 😂😂Mwachiluwi yule best Kuna inshu tulikuwa tunajadili, so tulivyomaliza Kuna series tulikuwa tunacheck ndo akaforce kulala hovyo vile
Makumbusho ndo wapi🤔🤔🤐😁, gheto kwangu ni mahala salama. Sipendi nipachezeeNa leo pia ana mgeni natoa siri 😂😂 pis inatoka makumbusho
Mkuu kalilala na night dress tu, mpaka nikamuuliza ulipanga kunikomoa. Maana so kwa vurugu hizoo alizoletaNa ukashindwa vumilia ukamla kimya kimya ukajifuta ili usijulikane
Haya ile juzi wakati nakulushia move lile boks la salama lina fanya nini paleMakumbusho ndo wapi🤔🤔🤐😁, gheto kwangu ni mahala salama. Sipendi nipachezee
Na ww ukavulugika mka vulugana 😂😂Mkuu kalilala na night dress tu, mpaka nikamuuliza ulipanga kunikomoa. Maana so kwa vurugu hizoo alizoleta
Mkuu iam a heaven agent on earth, sipendi makandokando mengi🤬😁🤐🤪 Mzee wa kupambaniaIntelligent businessman anatudanganya aisee hizi pisi hazitoki salama getoni hakuna kitu kama hicho hata ajitetee vipi😀
Movie zipi, salamaa🤔🤔, mkuu sina gf toka nizaliwe kabisa, Mbona Bantu Lady na Dahan nilishawaambia hilooHaya ile juzi wakati nakulushia move lile boks la salama lina fanya nini pale
aka hapo ushafunga mada kwamba unayo ila sio mengi kiasi ukashindwa kumilikiMkuu iam a heaven agent on earth, sipendi makandokando mengi🤬😁🤐🤪
Ngoja waje wasemeMovie zipi, salamaa🤔🤔, mkuu sina gf toka nizaliwe kabisa, Mbona Bantu Lady na Dahan nilishawaambia hiloo
Wala alisumbua mwanzoni, but mbingu zilinilindaaNa ww ukavulugika mka vulugana 😂😂
Nina marafiki wa kike wengi tu, tunaheshimiana na kupendana as friends. Ndo Mana Kuna baadhi wanaweza kuja gheto kupiga story au kucheki movie na still tusifanyeeMp
aka hapo ushafunga mada kwamba unayo ila sio mengi kiasi ukashindwa kumiliki
Ila yapo 😂😂
Ww kijana acha kutuzuga nenda kaandike kule kwa rik boy jinsi ulivyo kula tunda kimasihalaWala alisumbua mwanzoni, but mbingu zilinilindaa
Hapo unaleta ukakasi wa ndizi sasa labda kama sikujui juzi ulikuwa una jinadi hapa 😂😂 na majuzi kati ukikuwa unataka kujinyonga kisa mapenzi tuka kubalina tutafute pesa kwaza 😂😂Nina marafiki wa kike wengi tu, tunaheshimiana na kupendana as friends. Ndo Mana Kuna baadhi wanaweza kuja gheto kupiga story au kucheki movie na still tusifanyee