JamiiForums Usiku wa manane
Huyo Mwachiluwi ndo hafai kabisa mtoto wa Sinza huyo hapo ndo uhuni ulipoanzia Dar hadi wakajiita Sinza kwa wajanja. Mimi maneno tu vitendo zero niko nje ya jiji huku Bunju B
Master leo unanikana siyo wakati unanipambania ww kombe yaani ww ndio mwalimu mkuu leo unasema mimi ndio nakufundisha dah 😂😂
 
Mwisho wa siku wanatongoza mademu ambao ni wanajeshi, hivyo inapelekea kushikwa kirahisi
Hii kazi yetu changamoto. Ulevi na wizi noma si tukaingia kambi ya jeshi Lugalo kuiba kilichotukuta sasa wajeda haooo.

National Anthem akapewa mche wa sabuni na maji kwenye kikombe kaambiwa aoge mche wa sabuni uishe 😀😀😀
 
Back
Top Bottom