Lokii
JF-Expert Member
- Sep 23, 2016
- 708
- 2,089
Mi nipo huku halali wanging'ombe mkuuUnapigwa baridi ukiwa wapi? Njoo mfugale hapa![]()
Mi nipo huku halali wanging'ombe mkuuUnapigwa baridi ukiwa wapi? Njoo mfugale hapa![]()
Mkuu yamenishinda, Nina wasiwasi na wezi wenzagu National Anthem na Mzee wa kupambania wasije kuwa wametekwa na fbi au mossad, kgb🤔🤐Poa poa master
Scotland Yard.Mkuu yamenishinda, Nina wasiwasi na wezi wenzagu National Anthem na Mzee wa kupambania wasije kuwa wametekwa na fbi au mossad, kgb![]()
Chapa kazi!Hamna siku nimepatikana kama leo! Maaaninnah! Kazi kama azabu!View attachment 2536457
Kwa upande mwingine, Huu ndio muda bora zaidi wa kufanya Maombi na tafakari za maisha.Mida ya wanga imekaribiana raia ndio mmelala
![]()
Ahsante sana kwa ku_share nasi.
Yeah sure, mida ya wanga ndio muda mzuri wa maombi piaKwa upande mwingine, Huu ndio muda bora zaidi wa kufanya Maombi na tafakari za maisha.
SiwaoniMbona Twipooo!