Dahan
JF-Expert Member
- Oct 26, 2022
- 2,758
- 6,318
Jipya kiaje mkuu?.. Nipo lindo everyday😢Dahan jina jipya hili...habari
Jipya kiaje mkuu?.. Nipo lindo everyday😢Dahan jina jipya hili...habari
Naona ndo umeingia lindo nowJipya kiaje mkuu?.. Nipo lindo everyday😢
Poor Brain 👍Naona ndo umeingia lindo now
Mimi hapa... Naona umedislike..😂😂
Salama mkuu.. Karibu tupo sie😂😂Dahan jina jipya hili...habari
Usiongee kirahisi hivyo mkuuuKwenye niwape mimba tu na kuishi nao sio,imekaa vizuri pia,
Ila ndoa sikatai,kuchapiwa Siri ya ndani,wakinimegea na mimi naitafuta mnyonge nammgea
Yeah sipendi kuoga mkuuuHupendi kuoga lakini
Morning glory ✨ uliipiga 😁😁😁Napokea lindo sasa.....
Anayo evening glory huyu poor kabisa... 😂😂Morning glory ✨ uliipiga 😁😁😁
Hapana ila leo ntaipiga ahahaahhaha...Morning glory ✨ uliipiga 😁😁😁
Dahan unanianza.... Jiandae kukesha leoAnayo evening glory huyu poor kabisa... 😂😂
Hahaha fuvu gumu sana hiliAnayo evening glory huyu poor kabisa... 😂😂
Ety SipeNDI kuoGA msikie huyu😂😂😂😂Dahan unanianza.... Jiandae kukesha leo
Unakesha tena na leo.....Ety SipeNDI kuoGA msikie huyu😂😂😂😂
Wasiwasi ndo akiliUnakesha tena na leo.....
Na huyo asiependa kuoga huyo nna wasi wasi nae...?
Kwanza hulali... Pia huogi..Wasiwasi ndo akili
Mkuu kama unawasiwasi basi usiwe na poor brain 😂😂😂
Vipi kwani kutokuoga ni dhambi au 😒
Hehe watu wana overate sana kuoga newton alikuwa anaoga mara 2 au 1. Kwa wiki na pia alikuwa mkeshaji sanaKwanza hulali... Pia huogi..
Hiyo collaboration yake hapo so poa
Litakufa jitu😂😂😂😂
Wewe SipeNDI kuoGA team kataa ndoa😂😂😂 acha kumshauri @zwenge ndaba ivooo😢Usiongee kirahisi hivyo mkuuu
Kuna mtu alichapiwa akawa chizi unajua hilo mwingine alijinyonga mwingine alimfira huyo mwanaume na akawauwa. Wote mke na yeye na huyo mwanaume
Kuna mmoja alichapiwa akakaa wiki akafa na pressure
Bro acha kabisa
Ila huu ni ushauri tu maamuxi ni yako tu