Dahan
JF-Expert Member
- Oct 26, 2022
- 2,758
- 6,318
Ivi mkuu ni kweli maskini faraja yake ni sx?... Maana mtu ana mawazo kibao home hapasomekiii na bado ana mchepuko😂😂😂 rich people huo muda hawanaga et au imekaaje hii.. 😂😂Wanalala usingizi mtamu isipokua sio masaa mengi hahaha,Sasa wakina sisi haujui kesho kazini unaendaje,,kucheki unga uko robo,ukicheki mchepuko anakuambia ,"bby usisahau kutuma na ya kutolea"