JamiiForums Usiku wa manane
Io kwako wewe kwangu mimi ana 45%😂😂😂
Mtatuua asee ndo maana tunawahi kufa na mapressure na kisukari daah pesa nitafute,nikuridhushe 6 kwa 6, na watoto ni lee tena daah

Ndo maana kataa ndoa gang inakuwa day to day 🤔🤔
 
Mtatuua asee ndo maana tunawahi kufa na mapressure na kisukari daah pesa nitafute,nikuridhushe 6 kwa 6, na watoto ni lee tena daah

Ndo maana kataa ndoa gang inakuwa day to day 🤔🤔
😂😂😂😂Nani kakwambiaa?
Kwaio we kama unatafuta pesa ndo usishike mtoto wako? Bond lazma iwepo bhana..
 
Back
Top Bottom