Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,489
- 96,955
Shida anayepaswa kunifanya nibaki, naye yuko bize DahanBaki LINDO kuu misele ya Nini!??x😂🤣
Shida anayepaswa kunifanya nibaki, naye yuko bize DahanBaki LINDO kuu misele ya Nini!??x😂🤣
Ko unaniona sifai, kisa maneno ya watu Mr kenice njoo useme ukweliiHaahaah kuhangaika hukuuu balaa😂😂😂bora tu nibaki zangu na Mwachiluwi na mambo yake mehusiii😂😂😂
Waaleykum salaam khaifa.Wapendwa katika bwana tumsifu yesu Kristo, asalamu waleku,bwana Yesu asifiwe
AminaWapendwa katika bwana tumsifu yesu Kristo, asalamu waleku,bwana Yesu asifiwe
Uzima upo sioWaaleykum salaam khaifa.

Ahaa safi sana mnatia moyo sana,taifa lina vijana majasiri wa kuiombea nchi yao Tanzania usiku na mchanaAmina
Mwingi💪Uzima upo sio![]()
Ndioo maisha kupokelezana😂😂😂Ahaa safi sana mnatia moyo sana,taifa lina vijana majasiri wa kuiombea nchi yao Tanzania usiku na mchana
Walistahili coz first 11 ya timu yao imepwaya sanaNimesikitika sana
Huuu 🤣U are the queens of my kichwa Cha chini Dahan and o Bantu Lady
Ngoja tuone, huenda nikasamehewaHuuu 🤣
Kujipa moyo tu, yote yanawezekana.Lindo bila silaha ni uongo