JamiiForums Usiku wa manane
Sanaaa😅😅😅 ila yote tisa...ngono pekee na style zake haiwez fanya mwanaume atulie ndani.. Mwanaume anahitaji nyongeza ya udambwidambwi hivi ili aamue kubaki njia kuu.
Au wee unaonajee😂😂😂 Mr kenice
 
Si ni kama watoto tuu... 😂😂😂
Kuna wanaume hawakumbuki mara ya mwisho kukatwa kucha na wake/wapenz wao ilikua ni lini😂😂
Ooh vt vdgvdg kmaa hv hua vinavutia sana,
Like wise kunyoana nywele🤣🤣
 
Ooh vt vdgvdg kmaa hv hua vinavutia sana,
Like wise kunyoana nywele🤣🤣
Ety jamaniii ivi unakuta mwanamke muda woote kuongeaaa ongeaa hana muda wa kupumzikaa, hajali mume amerudi amechokaa wala nini heee ni kelele tuuuu.. Kwanini wanaume wasipitie kwenye ma-bar kidogo kupoza kichwa alaf ndo warud nyumbani😂😂
 
Ety jamaniii ivi unakuta mwanamke muda woote kuongeaaa ongeaa hana muda wa kupumzikaa, hajali mume amerudi amechokaa wala nini heue ni kelele tuuuu.. Kwanini wanaume wasipitie kwebye ma-bar kidogo kupoza kichwa alaf ndo warud nyumbani😂😂
Bar kule utakutana na vibint machachari ahooh kdg unarelax😲 Kisha mdgmdg unajongea hom
 
Haya mamb sifantagi bila utashi au additional tricks, 🤣🤣
😂😂😂Unakutana na mtu mchafuu muda ote eti kisa ana watoto na majukumu ya nyumban😅😅😅mumewe uko kazini anaona wanawake wamependeza na kunukia vizur et jaman hamu ya kurud nyumban itatoka wapiii😂😂
 
USAF muhim ukifeli hapo, utaskiaga baadhi ya utashi WA wanaume, kumbe ingewezekana kuzama ila shidi ipo kwako😲🤣
 
USAF muhim ukifeli hapo, utaskiaga baadhi ya utashi WA wanaume, kumbe ingewezekana kuzama ila shidi ipo kwako😲🤣
Yaan au unakuta wanawake tunapendezaaa na kuvutia tukienda kazini.. Nywele nzuri, nguo, marashi yanii mtu ananukiaaa... Ila akirudi nyumban tuuu uyo kafunga kiremba, sijui kavaa kofia, keshavua nguo na kuvaa tenge kwa ajili ya majukumu.. Ukirudi tu nyumban mume anakuona wa tofauti unapendeza na ghafla tuu ukibadili anakuona mtu wa ajabu tena😂😂😂
 
Yaan au unakuta wanawake tunapendezaaa na kuvutia tukienda kazini.. Nywele nzuri, nguo, marashi yanii mtu ananukiaaa... Ila akirudi nyumban tuuu uyo kafunga kiremba, sijui kavaa kofia, keshavua nguo na kuvaa tenge kwa ajili ya majukumu.. Ukirudi tu nyumban mume anakuona wa tofauti unapendeza na ghafla tuu ukibadili anakuona mtu wa ajabu tena😂😂😂
Akili za kiume bhna😂,
Yaani inatakiwa kupendeza Everytime, hii haiwez kumtoa ndani Mme, nani alisema mpira unatizamwa bar au ukumbini!!! Bas tu hom mumy hayupo smart😲🤣
 
Akili za kiume bhna😂,
Yaani inatakiwa kupendeza Everytime, hii haiwez kumtoa ndani Mme, nani alisema mpira unatizamwa bar au ukumbini!!!
Sasa kama nyumbani kelelee muda wotee unadhani itakuajee? Kuna watu hawajui huu ni muda wa kutulia na familia.. Nyumba zao ndio vijiwe vya mashosti kuanzia asubuhi hadi usiku😂😂😂
 
Back
Top Bottom