fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,684
- 24,003
Sasa kama huwa unasoma alafu huchangii, watu watajiallign vipi nawe?!Ni mwanachama haswa ila huwa msoma comments.
Sasa kama huwa unasoma alafu huchangii, watu watajiallign vipi nawe?!Ni mwanachama haswa ila huwa msoma comments.
Wababe wa sleeplessness wamepungua sana 🤣Ooh vzr, sema linepoa sana hili jukwa letu pendwa
Bomoa mkuu me napikaga ikibidiAisee hii njaa imetokea wapi na nilishiba vizuri tu usiku?🙆
Itabidi aisee uzuri wake, Kuna samaki hapa nilibakisha Jana usiku, ngoja nikiamshe😊Bomoa mkuu me napikaga ikibidi
Nakuona mastaa02:19
,,🤣🤣 Kuna jamaa ishakua kama tabia sasa , yye itikapo mida kama hii ndo kaz inaanza sasa kukuruka na majiko .Itabidi aisee uzuri wake, Kuna samaki hapa nilibakisha Jana usiku, ngoja nikiamshe😊
Tatizo ukila usiku wa manane ndo unageuka kuwa utaratibu wa kilasiku🤣🙆
Haha ngoja nami nijaribu leo. Baadae walinzi wenzangu, kikiiva nntawashtua mkaribie😊,,🤣🤣 Kuna jamaa ishakua kama tabia sasa , yye itikapo mida kama hii ndo kaz inaanza sasa kukuruka na majiko .
Kama kawaida ytu.Kama kawa. Nambie kamanda
Naona tuko lindoni leo
Sometimes, uvivu tu.Sasa kama huwa unasoma alafu huchangii, watu watajiallign vipi nawe?!
Nawamis sana Hawa watu.Nashangaa simuoni To yeye na Bantu Lady ndio mida yao hii ya kujidai na lindo
Hii ndo mida yenyewe sasa kwa makontawaKama kawaida ytu.
zakiyah haulali tu mrembo?
Why jamaniiii😅Ooh vzr, sema linepoa sana hili jukwa letu pendwa