Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,887
French hio kijanaKimanyema nonono saa
mkuu nimevumilia, mala ya kwanza alileta hizi picha tukatengana, chanzo ilikuwa kanisa, hii second time picha kama ile ile.. nikirudi akitoa jibu, ndio ataelewa mie ni nani..Daah ingekuwa mimi hilo angejuatia.
Napenda mke mchaji lkn awe na kiasi na anisikilize.
Vinginevyo nitamwambia arudie hukohuko alikotoka
Amina 🙏🙏🙏 Asante. Kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu nitadumu...Bantu Lady, Ubarikiwe kwa hekima hii, ole wako nisikie siku umeolewa kisha ukaanza kuharibu ntakupigaaaa
Excuse my French, muulize mrembo hapo just "vule vuvu avegua??" Haha French tafsiri yake WOULD YOU SLEEP WITH ME TONIGHTFrench hio kijana
Ukatumie akili zaidi.mkuu nimevumilia, mala ya kwanza alileta hizi picha tukatengana, chanzo ilikuwa kanisa, hii second time picha kama ile ile.. nikirudi akitoa jibu, ndio ataelewa mie ni nani..
We kenge, dah u made my minuteUkatumie akili zaidi.
Au nawe ni kitombi sana hadi amejua na ameshauriwa akeshe akikuombea?🤣🤣🤣
mie napiga ma story tu humu, mie kwanza domo zege, pili naogopa sana maradhi ya ngono, siwezi kabisa hata kuwa na wanawake wawili kwa wakati mmoja... huyu wife wamemuona kondoo mjinga.. wanafikiri na mie mjinga, waliniona kama zobaaa.. kumbe nina upande wa pili hawajui.. kama nina misimamo kuliko wao 😀😀🙂Ukatumie akili zaidi.
Au nawe ni kitombi sana hadi amejua na ameshauriwa akeshe akikuombea?🤣🤣🤣
Enjoy buddaWe kenge, dah u made my minute
Kwa hiyo visa vyote kule uzi wa kimasihara ni kamba?mie napiga ma story tu humu, mie kwanza domo zege, pili naogopa sana maradhi ya ngono, siwezi kabisa hata kuwa na wanawake wawili kwa wakati mmoja... huyu wife wamemuona kondoo mjinga.. wanafikiri na mie mjinga, waliniona kama zobaaa.. kumbe nina upande wa pili hawajui.. kama nina misimamo kuliko wao 😀😀🙂
kule kimasihara, utani tu hata wengi issue zao za kufikirika na kutunga tu chief 😃😃Kwa hiyo visa vyote kule uzi wa kimasihara ni kamba?
Tuanzie hapa Glenn, Kama National Anthem, sio muaminifu basi adhabu hii inamuhusuKwa hiyo visa vyote kule uzi wa kimasihara ni kamba?
Kabisa tulizana na ndoa yako, magonjwa mengi watu hawataki kutulia. Uanze kula mbegu saa hii aaah bora itokee, kwa bahati mbaya sana. Siyo kuyafata magonjwa yalipo.mie napiga ma story tu humu, mie kwanza domo zege, pili naogopa sana maradhi ya ngono, siwezi kabisa hata kuwa na wanawake wawili kwa wakati mmoja... huyu wife wamemuona kondoo mjinga.. wanafikiri na mie mjinga, waliniona kama zobaaa.. kumbe nina upande wa pili hawajui.. kama nina misimamo kuliko wao 😀😀🙂
Duuh mimi siwezi kutunga uongo kujisifia ninawakula big no.kule kimasihara, utani tu hata wengi issue zao za kufikirika na kutunga tu chief 😃😃
Karibu tena Mkuu ahmed albahshahwa ulipotea sana1:10