JamiiForums Usiku wa manane
hawa wachungaji wa siku hizi wanazingua sana aseee, Mungu atusaidie. Siku hizi wachungaji wana sauti kubwa kuliko mume.. mchungaji akisema unyimwe unyumba hupati kitu dah
Tatizo sio wachungaji bali washirika makondoo wasiojua hata neno.
Unaambiwa sabuni, maji, mafuta na vitambaa vya upako eti nawe unanunua kwanini msipelekeshwe?
 
Tatizo sio wachungaji bali washirika makondoo wasiojua hata neno.
Unaambiwa sabuni, maji, mafuta na vitambaa vya upako eti nawe unanunua kwanini msipelekeshwe?
chief usinipandishe munkari, nikarudi home mdaa huu kutaka majibu.. 🥲🥲🥲..

mie siwezi pelekeshwa, ataolewa na mchungaji akijichanganya au watamtafutia mume mwingine
 
chief usinipandishe munkari, nikarudi home mdaa huu kutaka majibu.. 🥲🥲🥲..

mie siwezi pelekeshwa, ataolewa na mchungaji akijichanganya au watamtafutia mume mwingine
Usiyumbe katika familia...kauli yako yafaa kuwa ndio alfa na Omega.

Lakini nawe uwe na imani sahihi na mwalimu wa familia
 
Usiyumbe katika familia...kauli yako yafaa kuwa ndio alfa na Omega.

Lakini nawe uwe na imani sahihi
Mkuu katika mtu ambae anajali familia mie mmoja wapo, tukiachana na utani wa humu, nipo makini sana kwa neema ya Mungu katika malezi ya familia katika misingi ya kiimani na kijamii.. hapa naona mwanamke ana kakiburi flani kajazwa upepo
 
Pole best pambana ndiyo uanaume huo. Hakuna kuachana, akufate wewe mume wake. Ya Mchungaji uwe mipaka ana mume mmoja tu, ambaye niwewe.
Nasikilizia saa anaona nimeondoka nimeacha assignment kama utani, nirudi nikute picha picha ndio atajua na maanisha nini..
 
Mkuu katika mtu ambae anajali familia mie mmoja wapo, tukiachana na utani wa humu, nipo makini sana kwa neema ya Mungu katika malezi ya familia katika misingi ya kiimani na kijamii.. hapa naona mwanamke ana kakiburi flani kajazwa upepo
Daah ingekuwa mimi hilo angejuatia.
Napenda mke mchaji lkn awe na kiasi na anisikilize.
Vinginevyo nitamwambia arudie hukohuko alikotoka
 
Back
Top Bottom