JamiiForums Usiku wa manane
Sina usingizi leo

Hisia zinanituma, demu wangu yuko na njemba nyingine mida hii.
 
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.

Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
AJIRA MPYA
KAMA USHAPATA WATOTO WA KUTOSHA WAJE HUMU.ELSE. USAHAU
 
Hii ndio mida ya kazi kwa sisi tulio maporini na mwezi huu unawaka,maji ya baridi,mixer nyagi kichwani,tractor haichemki nikupiga mbombo mpaka kunakucha..
 
Back
Top Bottom