Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,138
Asante mno, ila I don't want to believe if it's you in the picture, but let me just believeThank you.. Same to you best 2023![]()
Asante mno, ila I don't want to believe if it's you in the picture, but let me just believeThank you.. Same to you best 2023![]()
Why?Asante mno, ila I don't want to believe if it's you in the picture, but let me just believe
Sure zipo sababu zaidi ya 1000 za mimi kusema hivyoWhy?
Bro ukisikia nchi ya wabahiri, Basi Mimi ndo nchi yenyewe coz raisi atapita ila nchi itabaki
Kama tu kuspend elfu 10 roho inaniuma vipi hayo ma luxury mengine si ntachanganyikiwa
Haya
Duh bahati nzuri sana, ungesoma mbele ungekuta mtu ambaye ananifahamu nje ya JF na si mmoja.Sure zipo sababu zaidi ya 1000 za mimi kusema hivyo
Ujue kawaida yetu binadamu tunapokutana na jambo au kitu kipya cha kustaajabisha huwa tuna kua na mawili kuamini hiki ndicho kweli ama sicho, lakini kule kutokuamini na kuamini hakubadilishi uhalisia ,so nikasema nimeamini baada ya kutokuamini kwanzaDuh bahati nzuri sana, ungesoma mbele ungekuta mtu ambaye ananifahamu nje ya JF na si mmoja.
Haya sababu hizo buku ni zipi? Mbona kawaida sana, kipi huamini?
Sawa best nimekuelewa, ila kuwa na amani. Ndiyo hivyo Mungu anakutunuku tu 😄😄😄😄😄Ujue kawaida yetu binadamu tunapokutana na jambo au kitu kipya cha kustaajabisha huwa tuna kua na mawili kuamini hiki ndicho kweli ama sicho, lakini kule kutokuamini na kuamini hakubadilishi uhalisia ,so nikasema nimeamini baada ya kutokuamini kwanza
Then iyo kusema ni kawaida it is for you personally ila kwa sisi wengine ni isiyo ya kawaida aisee, lakini bado sababu zangu zipo pale pale.
Mapema yote jamani ,ndio kwanza tuna masaa 2 tu hata jua la 2023 hatujalionja?Huu mwaka 2023 uishe tu kwakweli
Yaa! Anatunuku haswa , lakini si kila mja anatunukiwa , wale walio jaliwa kunukiwa tunawapongeza na kumshukuru Mungu kwa ajili yao, ambavyo ni kwako wewe.Sawa best nimekuelewa, ila kuwa na amani. Ndiyo hivyo Mungu anakutunuku tu![]()
Asante sana na kwako pia best...Yaa! Anatunuku haswa , lakini si kila mja anatunukiwa , wale walio jaliwa kunukiwa tunawapongeza na kumshukuru Mungu kwa ajili yao, ambavyo ni kwako wewe.
Nina amani nawe nakuombea amani heri ya mwaka mpya tena.
Ngoja tuoneLast man standing nipo hapa
Haaa umeyakoroga yanywe mzee babaHuu mwaka 2023 uishe tu kwakweli