hili halina ugumu, toka jana aliniomba ruhusa kesho aende saloon then kuna rafiki yake kajifungua, huo mda wote mie nitakuwa home tuu.. akifika nampanga ajiandae awahi kanisani na mie anajua kesho na kikaoo.. kesho ni free kabisa nikirudi saa 11 homa haina mbaya na hawezi leta noma maana tushasomea kufuta ushahidi na alama 😀😀😀😀Aisee, usipange kabisa, mambo yanaweza badilika. Ukajikuta unakaa tu home 🤣🤣🤣🤣🤣
Long time sijatia mguu humu. Hope you guys are doing just fine

Hatujambo, nyinyi ndiyo wakimbia lindo mrudi mlinde bana.Daah long time hapa sijapita,hamjambo walinzi
Bro ukisikia nchi ya wabahiri, Basi Mimi ndo nchi yenyewe coz raisi atapita ila nchi itabakiUsifanye maisha kama kitabu cha kusoma tukariri mistari, jipongeze kwa vitu jipende mzee acha kuona dona ndiyo ugumu uganster tunaishi kufurahia
Hatariiiiii wanaume 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 nikiona mwenzangu anadanganywa hivi, nahisi namimi ndiyo yaleyale.hili halina ugumu, toka jana aliniomba ruhusa kesho aende saloon then kuna rafiki yake kajifungua, huo mda wote mie nitakuwa home tuu.. akifika nampanga ajiandae awahi kanisani na mie anajua kesho na kikaoo.. kesho ni free kabisa nikirudi saa 11 homa haina mbaya na hawezi leta noma maana tushasomea kufuta ushahidi na alama 😀😀😀😀
Nikweli,mabadiliko tu kidogo ya maisha mkuu ila hapa nimekunywa maji ya benderaHatujambo, nyinyi ndiyo wakimbia lindo mrudi mlinde bana.
😀😀 usichunguze sana bata hutomla... kikubwa ni mwanaume kusimama nafasi yake 100% na wewe kusimama yako.. mengine una assume hayapoHatariiiiii wanaume 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 nikiona mwenzangu anadanganywa hivi, nahisi namimi ndiyo yaleyale.
Glenn alishanifundisha hili somo, sijui kwanini halikai kichwani 🙈😀😀 usichunguze sana bata hutomla... kikubwa ni mwanaume kusimama nafasi yake 100% na wewe kusimama yako.. mengine una assume hayapo
😁😁😁 rudia rudia hadi likuingie, ila usema kweli natokaga ila sijawai mcheat wife wangu.. nabweka tu, maisha haya yalikuwa story tu.. ila now days hamna kitu 😀😀Glenn alishanifundisha hili somo, sijui kwanini halikai kichwani 🙈
Hiyo poa, kama humcheat hongera. Hiyo ya kutoka tu out ni nzuri pia kwa afya ya ndoa😁😁😁 rudia rudia hadi likuingie, ila usema kweli natokaga ila sijawai mcheat wife wangu.. nabweka tu, maisha haya yalikuwa story tu.. ila now days hamna kitu 😀😀
01:32
Asante National Anthem na kwako pia...Bantu Lady uwe na usiku mwema mama.. acha na mie nisindikize usingizi wa mtu
hapa napiga story, but siwezi fanya nje ya mtu wangu.. kutoka natoka sana ila narudi kama nilivyotoka.. kila kitu nakipata ndaniHiyo poa, kama humcheat hongera. Hiyo ya kutoka tu out ni nzuri pia kwa afya ya ndoa