JamiiForums Usiku wa manane
Kuna changamoto napitia zanibebea usingizi wangu
Waefeso 4 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²⁶ Mwe na hasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka;
²⁷ wala msimpe Ibilisi nafasi.


Kama wanadamu hatuwezi kukwepa kupatwa na hasira nyakati fulani. Muhimu ni kuwa tusiende vitandani mwetu tukiwa na mawazo ya uchungu, hasira, majuto nk. Hili ni baya sana na humpa ibilisi nafasi ya kututenda vibaya hasa kupitia ndoto. Pia Mungu hawi nasi hivyo kumpa nafasi shetani kutuvuruga na kuwa na siku mbaya. Hii hapa sababu ya kuwa na mawazo mema wakati wa kulala:

Ayubu 33 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁴ Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.
¹⁵ Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani;
¹⁶ Ndipo huyafunua masikio ya watu, Na kuyatia muhuri mafundisho yao,


Tunapokwenda kulala tukiwa na dhamira safi, Mungu hushuka na kutupa mwongozo wa siku inayofuata. Lakini tukiwa na mawazo negative hawezi kusema nasi, shetani huchukua fursa.
 
Waefeso 4 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²⁶ Mwe na hasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka;
²⁷ wala msimpe Ibilisi nafasi.


Kama wanadamu hatuwezi kukwepa kupatwa na hasira nyakati fulani. Muhimu ni kuwa tusiende vitandani mwetu tukiwa na mawazo ya uchungu, hasira, majuto nk. Hili ni baya sana na humpa ibilisi nafasi ya kututenda vibaya hasa kupitia ndoto. Pia Mungu hawi nasi hivyo kumpa nafasi shetani kutuvuruga na kuwa na siku mbaya. Hii hapa sababu ya kuwa na mawazo mema wakati wa kulala:

Ayubu 33 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁴ Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.
¹⁵ Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani;
¹⁶ Ndipo huyafunua masikio ya watu, Na kuyatia muhuri mafundisho yao,


Tunapokwenda kulala tukiwa na dhamira safi, Mungu hushuka na kutupa mwongozo wa siku inayofuata. Lakini tukiwa na mawazo negative hawezi kusema nasi, shetani huchukua fursa.
Barikiwa mtumishi wa Mungu
 
Back
Top Bottom