JamiiForums Usiku wa manane
Kuna changamoto napitia zanibebea usingizi wangu
Unajua tumejizoeza kwamba wakati wa kulala ni muda wa kutafakari yote mabaya tuliyokutana nayo. Hivyo tunalala na negative thoughts. Usikubali kumaliza siku yako na mawazo hasi, jitahidi kuwa unawazia mambo mazuri tu, hakika hayo yataanza kujidhihirisha maishani mwako.

Uwe na usiku mwema mkuu.
 
Unajua tumejizoeza kwamba wakati wa kulala ni muda wa kutafakari yote mabaya tuliyokutana nayo. Hivyo tunalala na negative thoughts. Usikubali kumaliza siku yako na mawazo hasi, jitahidi kuwa unawazia mambo mazuri tu, hakika hayo yataanza kujidhihirisha maishani mwako.

Uwe na usiku mwema mkuu.
Asante sana ndugušŸ™
 
Yaani Cheti chako Cha O level kina GPA, umekipata kwa udhamini wa "BIG RESULT NOW" unalalamika umefelishwa Law School..... Seriously
 
Back
Top Bottom