antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 49,778
- 130,713
01:29
Hahahaa,feeling ya wimbo huja pale unapoconnect wimbo huo na tukio fulani ambalo lilikutokea,ni issue yakisaikolojia tu hiyo.Sijui nipoje yan! Hadi najichikia sometimes! Nakula electro music hapa kwa sauti ya mbali ndani ya headphones, najikuta nipo high Hadi natokwa machozi namna instruments & lyrics zinavopenya masikioni 🥺🥺
Daahh, ni noma na robo 🥺🥺Hahahaa,feeling ya wimbo huja pale unapoconnect wimbo huo na tukio fulani ambalo lilikutokea,ni issue yakisaikolojia tu hiyo.
Mmmmmh huu mda watoto bado wanaangalia tamthilia2216
Zima TV, lazima waheshimu.muda wa kulala, wana umri gani? Unless they are above 18Mmmmmh huu mda watoto bado wanaangalia tamthilia
Mkuu ni watoto type ya kina junior...Zima TV, lazima waheshimu.muda wa kulala, wana umri gani? Unless they are above 18
Hahahaa akina Junior wana umri ganiMkuu ni watoto type ya kina junior...
Under 18Hahahaa akina Junior wana umri gani
Inaelekea umewazoeza kuwapa uhuru, sio mbaya lakini ni muhimu kuwafundisha watoto kuheshimu muda, wakati wa kulala wanatakiwa walale, wakati wa kuamka waamke, wakati wa kula nk, hii ukiweza kuimanage itakua na faida kwa watoto hata huko mbeleni watakapokua watu wazimaUnder 18
Mkuu respect sana kwako.Inaelekea umewazoeza kuwapa uhuru, sio mbaya lakini ni muhimu kuwafundisha watoto kuheshimu muda, wakati wa kulala wanatakiwa walale, wakati wa kuamka waamke, wakati wa kula nk, hii ukiweza kuimanage itakua na faida kwa watoto hata huko mbeleni watakapokua watu wazima




Mkuu.....
Nipo mkuu... SemaMkuu.....
Ngoja tusubiri mkuu wa kikosi aje apange majukumuNipo mkuu... Sema
Tusubiri mkuu, huku nikipata chakula cha roho na ubongo namna hiiNgoja tusubiri mkuu wa kikosi aje apange majukumu