JamiiForums Usiku wa manane
Daah af sijawanga kitambo, umenikumbusha mbali sana.
Ila sikuhizi nimeacha, nimeokoka japo mtaani kwetu huku wanga wengi
Leo hicho kichwa kama hujanywa pombe, hivi Ukiwanga unaendaga uchi, hivi hiyo dhana ya kuwanga uchi inamaanisha nini kwenu, au huwa mnakulana wanga kwa wanga au hamtamaniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safiii mkuu, jikinge mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_20210306_021501_516.jpg
 
Leo hicho kichwa kama hujanywa pombe, hivi Ukiwanga unaendaga uchi, hivi hiyo dhana ya kuwanga uchi inamaanisha nini kwenu, au huwa mnakulana wanga kwa wanga au hamtamaniani

Sent using Jamii Forums mobile app
I had makande for dinner, sjui ndio shida adi usingizi umekosa, hata sielewi.

Kwenye kuwanga ukiwa uchi ndio hauonekani na watu😀 pia inasaidia unapaa vizuri bila vizingiti huko njiani.
Kukulana hairuhusiwi ukiwa kwa mission, ni marufuku yaan, ndo wale unakuta wanaanguka chini adi asbh wanakutwa na watu nje.
 
I had makande for dinner, sjui ndio shida adi usingizi umekosa, hata sielewi.

Kwenye kuwanga ukiwa uchi ndio hauonekani na watu pia inasaidia unapaa vizuri bila vizingiti huko njiani.
Kukulana hairuhusiwi ukiwa kwa mission, ni marufuku yaan, ndo wale unakuta wanaanguka chini adi asbh wanakutwa na watu nje.
Safi midnight pilot kwahiyo uchi wako wanga wenzako wameshauona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom