Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Inahusu nini hyo movie? Jina linavutia
Inahusu nini hyo movie? Jina linavutia
Ilikua kidogo niwe msanii na mimi enzi zile, too bad daftari langu la nyimbo lilikamatwa nikiwa std 7 nikacharazwa bakora za kutosha na ndoto zangu zikafia hapo...





Umelitunza daftari muda wote huo madarasa yote hayo unakuja kamatwa std7 ahhhh umeniangusha, Harakati za 2pac tu maisha yake mziki na mabifu yake na wakina B.I.G mpaka anakufaInahusu nini hyo movie? Jina linavutia
Sijui nilijisahau vipi yaan😂 nilijilaumu sana ile sikuUmelitunza daftari muda wote huo madarasa yote hayo unakuja kamatwa std7 ahhhh umeniangusha,
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana ya kigumu sana, imekaa kiume😀Harakati za 2pac tu maisha yake mziki na mabifu yake na wakina B.I.G mpaka anakufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sana humo ndani ni chiks, unga, mziki, matusi, bifu yani hivyo mpaka umauti unamkuta 2pacInaonekana ya kigumu sana, imekaa kiume![]()
Santee but bora niliacha ule utoto, nikafocus kwa mambo ya msingi zaidi
Na alikua anaishi ile ghetto life hasa, lazima alipitia mengiNoma sana humo ndani ni chiks, unga, mziki, matusi, bifu yani hivyo mpaka umauti unamkuta 2pac
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani unamzidi kipato diamond PlatnumSantee but bora niliacha ule utoto, nikafocus kwa mambo ya msingi zaidi

na mambo yako ya msingiSema alikua ana hustle sana kufanya mapinduzi ya maisha yakeNa alikua anaishi ile ghetto life hasa, lazima alipitia mengi
🤣🤣🤣 Bana wee em tuendelee kujifukiza
Sana
Bana wee em tuendelee kujifukiza







Uwiii nimecheka nahisi jirani kanisikia,juran anakaa mita mia kanisikia aiseeh, kajifukize mwenyewe😂😂 Utaamsha majirani ohooUwiii nimecheka nahisi jirani kanisikia,juran anakaa mita mia kanisikia aiseeh, kajifukize mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaamsha majirani ohoo
Sasa hela zako vipi hazihesabiki au panya kala ngoja kwanza jirani hatakiwi asikie nacheka naziba mdomoHela za kawaida tu zinanitosha.... Niwe na mahela mengi ya nini mie, majambazi yaniwinde yanivamie wanipige nikufe akuu😛![]()
![]()
Sasa hela zako vipi hazihesabiki au panya kala ngoja kwanza jirani hatakiwi asikie nacheka naziba mdomo
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajifariji sioHela za kawaida tu zinanitosha.... Niwe na mahela mengi ya nini mie, majambazi yaniwinde yanivamie wanipige nikufe akuu![]()

sawa maisha simple tu