JamiiForums Usiku wa manane
IMG_0345.jpg

Ngoja niendelee kuitukuza kazi aliyoifanya bunny wailer kabla ya kukutwa na maisha mengine
 
Mkuu we malizia huku usalama upo
Cctv surveillance ipo 24/7 na suma jkt, tunakuhakikishia ulinzi popote uendapo tunashukuru kwa kutuwakilisha kwenye hicho kipande cha mupe muruke
 
Nikiwa na akili zangu timamu bila ya kushawishiwa na mtu yeyote na kwa kuzingatia sheria na taratibu za jf usiku wa manane kifungu namba 4 ibara ya 16a sina budi kusitisha lindo kutokana na wahusika kutokomea pasipo julikana

Hivyo bhasi kwa yeyote atakayejitokeza hatakuwa na haki ya kufungua jukwaa hili mpaka itakapotimu kesho kwenye 00:00hrs
Vigezo na masharti kuzingatiwa


Usisite kujikinga na corona
Kwa maana ukifa si hasara kwetu bali utaitia familia yako
Sisi yetu machozi kukulilia na chakula kukibugia
Stay safe kumbuka kuwa huruhusiwi kuuza mechi ugenini ahsanteni

The time is 04:20 goodbye
 
Back
Top Bottom