Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 530
- 1,031
Usiku wa leo mfupi saana, lindo leo jepesi...
Ndio Niko napsnda kitandani
AwesomeNyakati ambazo Mungu anapokea dua nyingi ni kuanzia saa kama hizi.... Mi nshaamuaga kupopo tu ntapumzika nikifa

pamoja sana mkuu0600
Tunafunga lindo
Tukutane kesho
Muwe na siku njema.
Baby shem unatuaminisha kuwa saa yako huwa inawahi kila siku?




Shughuli ya kukesha hapa inahitaji wito
Ukilazimishwa na mwajili wako uje hapa kupiga soga nyakati kama hizi lazima utafute mwasheria wa kukutetea![]()


kabisa, tena utawaita na watetezi wa haki za binadamu waje kumkemea huyo mwajiri wakokabisa, tena utawaita na watetezi wa haki za binadamu waje kumkemea huyo mwajiri wako




Lakini kwakuwa ni hiyari unabaki hapa usiku mkubwa kiroho safi
