Leo kijiwe kigumu
Duu wazee wa ndefuu... Haya mi mgeni humu nimechungulia tuu
Katika siku leo ni siku
... Naenda kulala mapema hiviroho inauma mno
Popooooz
02:52 Hrs0239Hrs
Heeepole sana ka ukichoka na upati usingizi meza piriton![]()





Kuna mapito napitia ...Niko macho nakula pombe tu kweli maisha Ni fumbo
Sent using Jamii Forums mobile app
Apa ku type sitaweza coz Niko chombo Sana Ila kwa kifupi Hawa baba zetu Kuna mda wanazingua Sana mpka unawaza vinginevyo..!Share nasi ikiwezekana
Dah.. itoshe kusema nimekuelewa sana. Sijui ni kwa style gani.. ila jipe moyo yana mwisho wake.Apa ku type sitaweza coz Niko chombo Sana Ila kwa kifupi Hawa baba zetu Kuna mda wanazingua Sana mpka unawaza vinginevyo..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko sebuleni nakula pombe tu ndo tulizo la moyoDah.. itoshe kusema nimekuelewa sana. Sijui ni kwa style gani.. ila jipe moyo yana mwisho wake.
Utaonekana wewe ndio mzinguaje kama utataka kwenda nae tit 4 tat, muache awe baba tuu!Niko sebuleni nakula pombe tu ndo tulizo la moyo
Nimekaa ndani wiki moja naweka strategies aisee maamuzi ya kiume Ni ya kiume
Ijumaa naanza utekelezaji ..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana siendi nae tit4tat ila nachofanya Ni kumuweka pembeni sitotaka Mawasiliano nae coz siko kwake Niko kwangu imekua kila nikimshirikisha mipango anaingilia Kati Kama mwema badae ananirudisha chin ...Apo nafanyaje? Najitenga taratibuUtaonekana wewe ndio mzinguaje kama utataka kwenda nae tit 4 tat, muache awe baba tuu!