Hapana siendi nae tit4tat ila nachofanya Ni kumuweka pembeni sitotaka Mawasiliano nae coz siko kwake Niko kwangu imekua kila nikimshirikisha mipango anaingilia Kati Kama mwema badae ananirudisha chin ...Apo nafanyaje? Najitenga taratibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee wetu hawaamini katika mabadiliko ya kimaisha yanayotokea na wanasahau kwamba sisi ndio tuliobadilika nayo, tunaijua analogy na tunaijua digital but wao wanataka tuendelee kuamini katika maisha ya analogia.

Mzazi anaweza kukukunjia kisa umemaliza chuo na hauna ajira kiasi chakuona amepoteza, bado hana imani na utakachitaka kukifanya kwa vile tuu labda hakielewi na hapo ndipo changamoto zinapotokea.

Uamuzi unaoamua nilishaufanya mika mitano kabla ya kuja kuishi nae mwaka mzima nikimuuguza na Mungu alimpenda Zaidi, (R.I.P) ila aliweza kukubali kuwa alikua wrong namna alivyokua ananichukulia baada yakuona wote alioamini wanaamtii wakimkimbia na kubaki mtu 2 mimi na yeye huku nikiona muda na mishe zangu si kitu tena mbele ya kutetea uhai wake.

So nakuunga mkono ila usimchukie au kumpotezea kabisa.
 
Wazee wetu hawaamini katika mabadiliko ya kimaisha yanayotokea na wanasahau kwamba sisi ndio tuliobadilika nayo, tunaijua analogy na tunaijua digital but wao wanataka tuendelee kuamini katika maisha ya analogia.

Mzazi anaweza kukukunjia kisa umemaliza chuo na hauna ajira kiasi chakuona amepoteza, bado hana imani na utakachitaka kukifanya kwa vile tuu labda hakielewi na hapo ndipo changamoto zinapotokea.

Uamuzi unaoamua nilishaufanya mika mitano kabla ya kuja kuishi nae mwaka mzima nikimuuguza na Mungu alimpenda Zaidi, (R.I.P) ila aliweza kukubali kuwa alikua wrong namna alivyokua ananichukulia baada yakuona wote alioamini wanaamtii wakimkimbia na kubaki mtu 2 mimi na yeye huku nikiona muda na mishe zangu si kitu tena mbele ya kutetea uhai wake.

So nakuunga mkono ila usimchukie au kumpotezea kabisa.
Bro Sijajua umenizid umri au nimekuzid umeongea kitu ambacho Ni ukweli kabisa nahis uliyo yapitia ndo Kama Yangu ...mzee wangu kapigwa Corona nimekomaa nae mpka kapona kapona Kuna tukio kanipga mpka nikashika kichwa
Kwa kifupi najtenga na yy kwa mda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro Sijajua umenizid umri au nimekuzid umeongea kitu ambacho Ni ukweli kabisa nahis uliyo yapitia ndo Kama Yangu ...mzee wangu kapigwa Corona nimekomaa nae mpka kapona kapona Kuna tukio kanipga mpka nikashika kichwa
Kwa kifupi najtenga na yy kwa mda

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mana rwply yangu ya kwanza kwako nilisema nimekuelewa kwa namna ninavyoielewa situation ya kijana anapokuwa confused na msure ake. Umri wangu ni huu huu wa kizazi cha mabadiliko ya ssayansi na teknolojia yaliyotukuta tukiwa katika wakati sahihi
 
Ndio mana rwply yangu ya kwanza kwako nilisema nimekuelewa kwa namna ninavyoielewa situation ya kijana anapokuwa confused na msure ake. Umri wangu ni huu huu wa kizazi cha mabadiliko ya ssayansi na teknolojia yaliyotukuta tukiwa katika wakati sahihi
Nimekuelewa bro ... Ahsante umenitia moyo kias ambacho huwezi Jua ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninawasihi ndugu zangu tuendelee kuchukua tahadhali, binafsi ndio usiku wa kwanza kupata nafuu katika kupambana na changamoto za upumuaji. Hii Hali inatesa jamani, ni Bora uisikie kwajirani lakini isihit kwako, ikikushika ndipo utakapoelewa ninachomaanisha. Tuendelee kuombeana
Asante kwa taharifa na tahadhari kilichobaki nikuzifanyia kazi kwa kujitahidi kujilinda na kuwalinda wenzetu.
 
Aaah mze saivi kila sehemu unanikuta na barakoa maaanaaaa hii kitu masikhara haina kabisa.
Pia punguza kujichanganya kwenye mikusanyo ya watu. Naona Kuna watu bado vichwa vyao vigumu. Nishazika ndugu, rafiki na jirani ndani ya hizi wiki mbili wote kwa changamoto za upumuaji ingawa hospital wamesema Nimonia. So nami Niko kwenye tension kubwa sana, lakini mpaka muda naimani nimeishinda kwa nguvu za Mungu na jitihada binafsi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom