JamiiForums Usiku wa manane
Nolasco Kigamboni, tunalipa kodi as usual...
JPEG_20210207_041951_6218011515982998031.jpg
 
Hahaha nakubali let us meet next weekend...hii ishapita, Mwenyezi Mungu atujalie uzima, nakaa karibu sana na Liquid, ila sio mteja wao sijawahi kujua..asante kaka.
Hilo limepita mkuu, tuombe uzima. Ijumaa au Jumamosi itapendeza zaidi. Binafsi huwa ni nadra sana kupitisha wiki bila kwenda kuripoti Liquid au Maasai club, pale Kilwa road
 
Back
Top Bottom