Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Haha...sawa ingawa yataka moyo kuangalia movie za kutisha usiku na unalala peke yako.Hahaha, usiwe serious sana na movie me nikiona nazama sana na recall hii movie tu bhna.
Haha...sawa ingawa yataka moyo kuangalia movie za kutisha usiku na unalala peke yako.Hahaha, usiwe serious sana na movie me nikiona nazama sana na recall hii movie tu bhna.
Hahahah kwa kweli,Haha...sawa ingawa yataka moyo kuangalia movie za kutisha usiku na unalala peke yako.
Hahahaha umenikumbusha few weeks ago nilikuwa nalala na taa on till morning...nikawa naona najitesa usingizi unakuwa wa maumivu nikaona isiwe tabu..siku hizi nazim taaHahahah kwa kweli,
Japo kwa upande wangu siogopagi,
Me kitu kinanishangaza ni baadhii ya Wanawake hawazimagi taa usiku mpka asubuhi!!!
Sure, unakua unshtuka shtuka kila mara,Hahahaha umenikumbusha few weeks ago nilikuwa nalala na taa on till morning...nikawa naona najitesa usingizi unakuwa wa maumivu nikaona isiwe tabu..siku hizi nazim taa
Leo mpaka funafunga lindoHua unatumaga text moja alafu unatoroka....
Acha uoga,njoo tulindeUsingizi
Blanket mpaka usoni hapana..Kwanza sipendi jifunika wakati wa baridi la dar najifunika tu nifanyeje..,😂😂 ila hongera aiseeSure, unakua unshtuka shtuka kila mara,
Mimi nikikamatag blanket ni mpka usoni, unaweza? 😅
Nimefurahi,Leo mpaka funafunga lindo
Hii kujipiga gubigubi tunaweza wachache😅😅,Blanket mpaka usoni hapana..Kwanza sipendi jifunika wakati wa baridi la dar najifunika tu nifanyeje..,😂😂 ila hongera aisee
😂😂 Umetisha Mimi nilishashindwaga na sidhani Kama nitakuja kuwezaHii kujipiga gubigubi tunaweza wachache😅😅,
Kipindi cha baridi ndo nakula bata sana nikilitupia hapo mpaka kucheee.
Ni simple,😂😂 Umetisha Mimi nilishashindwaga na sidhani Kama nitakuja kuweza
Jirani mwenzako nakuonea gere.
Nzuri karibu lindoni.Habari zenu
Huwa nasindikiza na movie,Nimefurahi,
Me hua sikai bure huku nalinda uku napitia kitabu,
Wewe unasindikiza lindo na nini.?
Vizuri leo uko na ipi,Huwa nasindikiza na movie,