Chief Sam
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 2,577
- 4,864
Don't worry niko na ki mbwa koko apa+wimbi la castle light na k vant .najiamin SanaNakukabidhi lindo,wakirudi toka club waachie nawe ukapumzike


Don't worry niko na ki mbwa koko apa+wimbi la castle light na k vant .najiamin SanaNakukabidhi lindo,wakirudi toka club waachie nawe ukapumzike


maneno mengine mnayoandikaonasasa nmejing'ata ulimi
![]()



we jamaa miyeyusho sana. Kwani maneno gani yana utata hapo 



Roger that, over0142
huku #kwatu ni fresh #kabosa pia
![]()
hali ni shwari pande zote sjuii uko kwanu wazee wa lindo
Una mdomo mchafu kama kichwa chako 😂😂Haya draw yako umeipata ila hapo kwa Everton lazima anamng'ang'ania mtu![]()
Una mdomo mchafu kama kichwa chako
Nimeumia kiasi, Ila sio mbaya bado tuko top 3 on standing.
Tabia mbaya.
We sijui ni Arsenal![]()
😅😅😅 eti kilema.Huyo kilema leo akipambana anaweza kuona mwezi ila nae namuombea afungwe au sare.
Wamekuhack???
Pombe ilikua kichwani sijui hata nilijibu nini, pombe mbaya sana