Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,873
- 51,658
Nilitumia posta aisee vikaibiwa vichache na vingine vikafika, bado mzigo haukuja kwa wakati, watumieMK Logistic wapo vizuri sana, nilishawatumia pia kunitumia simu hii nayotumia sahivi Huawei, unataka kuagiziwa mzigo ganiHivi ulishawahi kuagiza kitu mtandaoni na ukapata kwa wakati bidhaa yako? Bongo hii huduma hawaiwezi kabisa ni![]()
Sent using Jamii Forums mobile app


