Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Mm nilishindikana kabisa kila siku ilikuwa fimbo mpaka wakanichoka 😢wachelewaj ndivyo mlivyokuwa. Alafu mlikuw hamkosi sababu za kujitetea
Mm nilishindikana kabisa kila siku ilikuwa fimbo mpaka wakanichoka 😢wachelewaj ndivyo mlivyokuwa. Alafu mlikuw hamkosi sababu za kujitetea
Ulipotea sana kijanaMm nilishindikana kabisa kila siku ilikuwa fimbo mpaka wakanichoka![]()
Aah wapi bongo sio watu wakujali muda juzi nilikuwa na appointment na mfanya biashara mmoja loh ni mzembe sana.Mshukuru amekufundisha jinsi ya kutunza muda
Nimesafiri sana hapa katikati nakuwa nachoka sana.Ulipotea sana kijana
Kwamba ulishindikana!Mm nilishindikana kabisa kila siku ilikuwa fimbo mpaka wakanichoka![]()


Aah wapi bongo sio watu wakujali muda juzi nilikuwa na appointment na mfanya biashara mmoja loh ni mzembe sana.



Hakuna mwalimu alikuwa hanijui mkuu washule alituma hadi watu wamlete mzazi 😢😢 akaambiwa anitafutie shule wamenishindwa 😢😢Kwamba ulishindikana!
Inaonekana Walimu wapenda sifa hawakuwepo shule hiyo eeh?? Manake wale husema "kama hao wengine wamekushindwa basi kwangu utanyooka tu"![]()
Hawakuwa siriaz na jambo laoHakuna mwalimu alikuwa hanijui mkuu washule alituma hadi watu wamlete mzaziakaambiwa anitafutie shule wamenishindwa
![]()
Hivi ulishawahi kuagiza kitu mtandaoni na ukapata kwa wakati bidhaa yako? Bongo hii huduma hawaiwezi kabisa ni 🚮🚮🚮
Central nimeingia sana kwa kesi za shule kuna muda nikikumbuka huwa nasema nilikuwa na akili gani wakati huo 😢😢Hawakuwa siriaz na jambo lao
Ni hesabu rahisi tu hiyo,, nikwamba ulikuwa haujakua kiakiliCentral nimeingia sana kwa kesi za shule kuna muda nikikumbuka huwa nasema nilikuwa na akili gani wakati huo![]()
Kweli kabisa.Ni hesabu rahisi tu hiyo,, nikwamba ulikuwa haujakua kiakili
Nilikuwa kama wewe,, lakin ilifika hatua nikaamua kuwa mtiifu nakujiongoza mwenyew.Kweli kabisa.
Kutoka mtoto mpaka kuwa mtu mzima kuna stage nyingi sanaNilikuwa kama wewe,, lakin ilifika hatua nikaamua kuwa mtiifu nakujiongoza mwenyew.
Sana mzee,, ila kuuendekeza utoto nayo ni uamuz wako tu.Kutoka mtoto mpaka kuwa mtu mzima kuna stage nyingi sana
Pa1Super VillainOya acha nipumzishe fuvu hili nina mtu nakutana naye saa 12 asubuhi ananitesa sana kuamka huo mudaacha nilale mzee DIRECTOR KENNY
Mwana FA anasema Hakuna wakukupigia ngoma kukuambia kuwa umekuwa, miyesusho ya majukumu tu utajua, utaamka utakuja uombe tukuombee dua.... 🎶🎶Sana mzee,, ila kuuendekeza utoto nayo ni uamuz wako tu.
Mwana FA anasema Hakuna wakukupigia ngoma kukuambia kuwa umekuwa, miyesusho ya majukumu tu utajua, utaamka utakuja uombe tukuombee dua....![]()


falsafa haijawah kuwa oversize kwa wale elite ones