Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
😂😂nataka kusema hvohvo! hahaaa
Embu acha ulabu ukalale
😂😂nataka kusema hvohvo! hahaaa
Kwaya master wako hajasema hiyo sauti ni ya mtt kweli alivyosikia mara ya kwanza 😆 😆 😆Hajaniambia Ila kaniambia nisivunjike moyo next week atakuwa namimi Bennet Hadi nifikie sauti ya kwanza
Tunagawana...Kwahiyo sisi tunachota ww unapunguza 🙂
hapa natoka mida ivi kama saa 9 alafu geto nna ka kinywaji naenda kukapiga tena uku napata mziki mwanana sanaaa!!.. zile nyimbo kama za kina dua lipa n.k zitakua zinasikika kwnye ka sabufa kangu kadogo tu, ... ntalala saa 12 ivi
Embu acha ulabu ukalale
kwa ratio ipi!??...Tunagawana...
Haya maisha ya Ujamaa mbona yalishaisha kitambo saiv kila mtu anabeba msalaba wake 😆😆😆Tunagawana...
hahahaaaaa mzeee imebidi nicheke...maana mda si muda sana, kaja manzi from nowhere ananiomba nimnunulie bia nkamwambia kama huna hela ya bia nenda kalale maana sina bajeti yako hapa, kanisonya na kuondoka kwa kebehi... nko nawaza nmekosea wapiHaya maisha ya Ujamaa mbona yalishaisha kitambo saiv kila mtu anabeba msalaba wake![]()
Mzee hutakikutoa offer utakula mema ya nchi kweli ww! 😆 😆 😆 😆hahahaaaaa mzeee imebidi nicheke...maana mda si muda sana, kaja manzi from nowhere ananiomba nimnunulie bia nkamwambia kama huna hela ya bia nenda kalale maana sina bajeti yako hapa, kanisonya na kuondoka kwa kebehi... nko nawaza nmekosea wapi
Wee niombee ukienda...mengine hayakuhusu.Haya maisha ya Ujamaa mbona yalishaisha kitambo saiv kila mtu anabeba msalaba wake![]()


Sawa mtumishi 🙃Wee niombee ukienda...mengine hayakuhusu.![]()
offer nshatoa sana miaka ya nyuma na nkanyimwa saivi sitaki tena... heri nikae nimsubiri yna2 kuliko kutoa offer za kizembeMzee hutakikutoa offer utakula mema ya nchi kweli ww!![]()
![]()
![]()
![]()
😆 😆 Hutaki kufanya tena uzembeoffer nshatoa sana miaka ya nyuma na nkanyimwa saivi sitaki tena... heri nikae nimsubiri yna2 kuliko kutoa offer za kizembe
hapana mkuuu sitaki kufanya uzembe asilani.![]()
Hutaki kufanya tena uzembe
braza nmeona bobpaak kapost dude linaitwa "altered carbon"Huu mwaka hauna Movie kabisabora uishe salama tu.
this is Super Villain from Alpha Team.
I´m at point City mall. Need info on my extraction over Iceberg9
Kumbe una vurugu hivi kupokea posho, unafanya shopping
ya nini leo ndugu yangu kama nakuona unaanza na sneakers
kali hivi, aisehhh unapotea sana lindo leo tujaribu kutoboa


Kwema sana boss nipe location mzee mwenzanguHakina kitu kiongozi.
Kwema mkuu?