Ronnycinchy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,086
- 7,120
Endelea kulinda.![]()
Unalinda au tunalinda wote,
Endelea kulinda.![]()
Unalinda au tunalinda wote,
Teh...umechelewa wapi sijui?Ndiyo nimeamua kutia kambi kwako naona unanifaa kabisa kuwa mke,
Ndio maana sijawahi kukumbana na vitisho hivyo....kumbe unasawazishaga mapema eeh?Mi simuogopi yeyote kati ya hao coz sina hulka ya uoga na pia najua hawana mafunzo yoyote so wakikutana na mtu kama mimi possibility ya (yeye), miongoni mwao kuumia ni kubwa, ila kama wataniotea sawa itakuwa miscalculation yangu.
Lete kuni tuwashe motoEndelea kulinda.
Ndio hivyo mpenzi wangu. I always want to to be protectedNdio maana sijawahi kukumbana na vitisho hivyo....kumbe unasawazishaga mapema eeh?
Sijui hata nazipatia wapi?Lete kuni tuwashe moto
Nachomuogopea kibaka ni nyenzo anazotumia kufanyia uharifu kiwembe, kisu, misumari, peni, panga na fyekeoNamuogopa Mwizi sababu anaweza kuja kwako akakuibia bado akaamua tu kukukata hata sikio au kidole, anaweza akabaka familia, anaweza akafanya uharibifu wowote,
Lakini hapa tunazungumzia wezi wa Tz ambao wengi wanatumia silaha za jadi, ukienda nchi zingine wezi hao hao wanatumia bunduki na kukumaliza ni dakika sifuri tu, yaan wana roho flani ya kikatili ambayo hailezekeki,
Kibaka unaweza kupambana nae kama hajakulia timing, nakumbuka miaka hiyooo mwananyamala kulikua na roba za mbao, unapigwa roba unahisi kabisa anaondoka na roho yako maana kwenye mbao walikua wanaweka misumari.
Hawa watu vibaka, mwizi, jambazi....wapo kweli? Au mimi naishi Mars?Nachomuogopea kibaka ni nyenzo anazotumia kufanyia uharifu kiwembe, kisu, misumari, peni, panga na fyekeo
Kama unamuogopa kibaka na wembe wake ukikutana na Jambazi na bunduki yake si unakufa kablaNachomuogopea kibaka ni nyenzo anazotumia kufanyia uharifu kiwembe, kisu, misumari, peni, panga na fyekeo
Siku ikatokea ukakutana na mtu wa aina hii hakikisha unakuwa wa kwanza kumuattack with full speed in potential areas katika mwili wake uku ukijihami kama atatumia siraha katika kukinga shambulizi lako.Nachomuogopea kibaka ni nyenzo anazotumia kufanyia uharifu kiwembe, kisu, misumari, peni, panga na fyekeo
Wapo mbona, kwako kama hujawahi kumbana nao pia inategemea na mali unazomiliki huwa wanatafuta sehemu kwenye neema za kuwabariki ndiyo wafanye tukioHawa watu vibaka, mwizi, jambazi....wapo kweli? Au mimi naishi Mars?
Sijawahi kukumbana nao...Ashukuriwe Mwenye Enzi
Siku ikatokea ukakutana na mtu wa aina hii hakikisha unakuwa wa kwanza kumuattack with full speed in potential areas katika mwili wake uku ukijihami kama atatumia siraha katika kukinga shambulizi lako.
Pigo moja tu linatosha
Si mpaka uwe na akili hiyoJambazi anaweza akaja na siraha hatarishi na asitumie kwenye kukamilisha tukio, ila kibaka anaweza kuja hata na peni lakini ni lazima atumie yani ni lazima akutie jamba jambaKama unamuogopa kibaka na wembe wake ukikutana na Jambazi na bunduki yake si unakufa kabla
Oohhh....nimekuelewa...nitalegeza security fyddell usogeage mbali...usikabe sana....nataka na mimi ni kumbane na matukio kidogo....Wapo mbona, kwako kama hujawahi kumbana nao pia inategemea na mali unazomiliki huwa wanatafuta sehemu kwenye neema za kuwabariki ndiyo wafanye tukio


Hili darasa tosha...Siku ikatokea ukakutana na mtu wa aina hii hakikisha unakuwa wa kwanza kumuattack with full speed in potential areas katika mwili wake uku ukijihami kama atatumia siraha katika kukinga shambulizi lako.
Pigo moja tu linatosha


Unaniogopesha sasa....Jambazi anaweza akaja na siraha hatarishi na asitumie kwenye kukamilisha tukio, ila kibaka anaweza kuja hata na peni lakini ni lazima atumie yani ni lazima akutie jamba jamba
Siku ikatokea ukakutana na mtu wa aina hii hakikisha unakuwa wa kwanza kumuattack with full speed in potential areas katika mwili wake uku ukijihami kama atatumia siraha katika kukinga shambulizi lako.Nachomuogopea kibaka ni nyenzo anazotumia kufanyia uharifu kiwembe, kisu, misumari, peni, panga na fyekeo