JamiiForums Usiku wa manane
Nisinzie wapi mkuu? Style ya kumkaribisha mwizi hii, ajue umelala ili afanye yake alafu gafra unazibuka paap...huyu hapa, kipondo atakachopata hatakuja sahau
Hahahaha ilishawahi kukutokea mwizi akaingia ndani kwako ukamkamata?
 
Hahahaha ilishawahi kukutokea mwizi akaingia ndani kwako ukamkamata?
Alikimbia vibaya mno alafu namjua. Ni bro wa kitaa design ya teja mtaani, kesho yake nikamfuata home kwao alivyosikia tu namuulizia kwa mkewe nikasikia mtu akikurupuka chumbani akapanda ukuta (maana hakukuwa na dali) akarukia chumba cha pili akatoka nje kupitia mlango wa nyuma. Nilichelewa kidogo tu isingekuwa mkewe kunizugazuga pale mlangoni.
Niliacha ujumbe kwa mkewe na wadogo zake, baada ya siku kama mbili hivi alikuja kuniomba msamaha.
 
Alikimbia vibaya mno alafu namjua. Ni bro wa kitaa design ya teja mtaani, kesho yake nikamfuata home kwao alivyosikia tu namuulizia kwa mkewe nikasikia mtu akikurupuka chumbani akapanda ukuta (maana hakukuwa na dali) akarukia chumba cha pili akatoka nje kupitia mlango wa nyuma. Nilichelewa kidogo tu isingekuwa mkewe kunizugazuga pale mlangoni.
Niliacha ujumbe kwa mkewe na wadogo zake, baada ya siku kama mbili hivi alikuja kuniomba msamaha.
Aiseee zilikua bado hazijafika arobaini zake, na mpaka alikuja kukuomba msamaha inaonesha uliacha warning ya kibabe sana, na mpaka hapo hujapata wezi tena nyumbani kwako?
 
Aiseee zilikua bado hazijafika arobaini zake, na mpaka alikuja kukuomba msamaha inaonesha uliacha warning ya kibabe sana, na mpaka hapo hujapata wezi tena nyumbani kwako?
Mpaka naenda kuanzisha makazi sehemu nyingine halikuwahi kutokea tukio lolote mahali pale. Jamaa alikuwa mdokozi wa ile si mnamfahamu, akipita akiona kitu anabeba kama hakuna mtu.
 
Mpaka naenda kuanzisha makazi sehemu nyingine halikuwahi kutokea tukio lolote mahali pale. Jamaa alikuwa mdokozi wa ile si mnamfahamu, akipita akiona kitu anabeba kama hakuna mtu.
Zamani niliwahi kuishi sehemu kumbe ule mtaa ilikua wezi wanaamua wanavamia nyumba moja baada ya nyingine na kuiba vitu mbali mbali hadi kujeruhi, hapo hata mwezi sina,

Siku ya tukio wakawa wanafanya yao ilikua usiku sana nasikia purukushani kwa jirani yangu nikawa nasikiliza kwa makini, baada ya muda kimya, ghafla nikasikia vishindo vya nguvu vimeangukia kwangu, nikashtuka hapo nimesimama kwa tahadhari nikaandika sms na kuforward kwa kila mtu kwenye phonebook yangu lol,

Milio ya Paka ikaanza kusikika kwa fujo na mbwa wakaanza kubweka sana, nikasikia mtu mmoja anasema "wanangu tuondokeni jau" baada ya vishindo ukasikika ukimya mkubwa huku simu zinamiminika tu.

Sikujua kwanini waliondoka, asubuhi kila mtu analia tu, nikasamehe kodi nikahama.
 
Zamani niliwahi kuishi sehemu kumbe ule mtaa ilikua wezi wanaamua wanavamia nyumba moja baada ya nyingine na kuiba vitu mbali mbali hadi kujeruhi, hapo hata mwezi sina,

Siku ya tukio wakawa wanafanya yao ilikua usiku sana nasikia purukushani kwa jirani yangu nikawa nasikiliza kwa makini, baada ya muda kimya, ghafla nikasikia vishindo vya nguvu vimeangukia kwangu, nikashtuka hapo nimesimama kwa tahadhari nikaandika sms na kuforward kwa kila mtu kwenye phonebook yangu lol,

Milio ya Paka ikaanza kusikika kwa fujo na mbwa wakaanza kubweka sana, nikasikia mtu mmoja anasema "wanangu tuondokeni jau" baada ya vishindo ukasikika ukimya mkubwa huku simu zinamiminika tu.

Sikujua kwanini waliondoka, asubuhi kila mtu analia tu, nikasamehe kodi nikahama.
Hao paka na mbwa walitokea wapi?
 
Paka walikua wanalala uwanjani kwangu, mbwa wa majirani.
Hao ndio waliokusaidia. Mungu ana njia zisizochunguzika wala kutegemea na kukuoa kutoka katika jambo hatari. Usikute ulivyojihami kwa kusimama, wangeingia wangekudhuru but God himself intervened by his own way to save you.
Wezi wa design hiyo wajinga sana, hudhuru kwa kujihami hata kama hujafanya chochote
 
Zamani niliwahi kuishi sehemu kumbe ule mtaa ilikua wezi wanaamua wanavamia nyumba moja baada ya nyingine na kuiba vitu mbali mbali hadi kujeruhi, hapo hata mwezi sina,

Siku ya tukio wakawa wanafanya yao ilikua usiku sana nasikia purukushani kwa jirani yangu nikawa nasikiliza kwa makini, baada ya muda kimya, ghafla nikasikia vishindo vya nguvu vimeangukia kwangu, nikashtuka hapo nimesimama kwa tahadhari nikaandika sms na kuforward kwa kila mtu kwenye phonebook yangu lol,

Milio ya Paka ikaanza kusikika kwa fujo na mbwa wakaanza kubweka sana, nikasikia mtu mmoja anasema "wanangu tuondokeni jau" baada ya vishindo ukasikika ukimya mkubwa huku simu zinamiminika tu.

Sikujua kwanini waliondoka, asubuhi kila mtu analia tu, nikasamehe kodi nikahama.
Makamanda mpo, nimestuka toka usingizini nimekutana hii stori nimecheka
 
Back
Top Bottom