JamiiForums Usiku wa manane
Haha hyy ni mimi kbsa hapa nina usingizi lkn staki kulala
giphy.gif
 
Nimetoka kuwatimua vibaka wali infiltrate kwenye mabanda ya mifugo huko nje nyumba.Hakika asbh ya ningelia kama mbwa maana hasara ambayo wangenisababishia sipati picha.

Almost toka saa 1:50.

NB
Sikujua kama na mm siku moja nita comment huu uzi.
 
Nimetoka kuwatimua vibaka wali infiltrate kwenye mabanda ya mifugo huko nje nyumba.Hakika asbh ya ningelia kama mbwa maana hasara ambayo wangenisababishia sipati picha.

Almost toka saa 1:50.

NB
Sikujua kama na mm siku moja nita comment huu uzi.
Poole sana! Na hongera kwa ujasir wa kupambana nao...leo naona walinzi wapo likizo humu
 
Nimetoka kuwatimua vibaka wali infiltrate kwenye mabanda ya mifugo huko nje nyumba.Hakika asbh ya ningelia kama mbwa maana hasara ambayo wangenisababishia sipati picha.

Almost toka saa 1:50.

NB
Sikujua kama na mm siku moja nita comment huu uzi.
Shukrani kwakwel.Hapa navuta vuta time madogo wkiamka kujiandaa for school mm ndio nilale sasa maana nahis kama watarudi
Asee hongera sana Mkuu
 
Back
Top Bottom