Wakuoe....lala usingizi ushakukamata wewe
Wakupe.... hebu rekebisha...Una nyimbo nzuri aiseeBadae nitapita kwenye kukagua lindo

Una nyimbo nzuri aisee![]()
This is my fave aiseehNdio ndio
Cha kufanya anzisha mahusiano nae kama yumo humu JF, anza mdogo mdogo mzoeane muwe marafiki wa kushibana, mkitoka hapo mjipandishe vyeo sasa mtafutane mkayajenge... Hakuna relationship imara kama hile iliyoanza kwa kuwasiliana na kuzoeana mkiwa mbali, siku mkikutana basi imeisha hiyo, mnaweka mpira kati ,Iceberg9 kuna chomboz nimekikubali humu JF Ila sasa mi niko Kanda maalumu chenyewe kiko DSM sasa tumefall in Love sasa What should I Do?
Naunga mkono hojaUna nyimbo nzuri aisee![]()
Kumbe wewe ni mshauri mzuri hivi ?Cha kufanya anzisha mahusiano nae kama yumo humu JF, anza mdogo mdogo mzoeane muwe marafiki wa kushibana, mkitoka hapo mjipandishe vyeo sasa mtafutane mkayajenge... Hakuna relationship imara kama hile iliyoanza kwa kuwasiliana na kuzoeana mkiwa mbali, siku mkikutana mpira umeisha mnaweka kati game linaanza,
Faida zake
-Mtadumu
-Hamtachokana
-Mtataniana na kuwa wenye furaha
-Mtasaidiana
-mtapendana sana tu
This is my fave aiseeh
Kumbe inawezekana sio,fanyeni long distance relationship
Distance is not a barrier when two people fall in love .
Kumbe nilikua sijui eti, thanksKumbe wewe ni mshauri mzuri hivi ?
This is my fave aiseeh
Ndio kikubwa ni upendo wa dhati na trust maana bila mtu kumuamini mwenzi wake italeta mashaka .Kumbe inawezekana sio,
Ndiyo umemshauri vizuriKumbe nilikua sijui eti, thanks
This is my fave aiseeh