fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,686
- 24,005
Bora tumstopishe mapema kabla hajaleta taharuki lindoni😊😊Ana balaa zito huyu mzee,,atafanya lindo liwe gumu leo
Bora tumstopishe mapema kabla hajaleta taharuki lindoni😊😊Ana balaa zito huyu mzee,,atafanya lindo liwe gumu leo
Vitu vya kawaida hivi hakuna kitu kisichokuwa na takwimu ni ww hutaki kujua ndio maana unashangaa.skuwai kufikilia kuwa kunawatu wanatakwimu hadi za porno
Haha hyy ni mimi kbsa hapa nina usingizi lkn staki kulalaZzzzz![]()


Maelezo ni marefu sana lakini humu kuna watu wanauelewa mdogo sana na hawataki kujifunza ndio maana akili zao zimeganda sehemu moja ileileExplain pls


hata waje motivator wainagani bado ni hasara.Wahenga wamelalaHivi msafiri kafiri, huu msemo una maana gani?
Lindo lilipokuwa lindo...halichoshiii..embu wakumbushe waje mida ile tubonge kidogo..😍Ukiniuliza sababu ya kuwQuote..
Niko nasikiliza nyimbo za Lucky dube zikanikumbusha kipindi hicho (2018) wakati tukiwa lindoni.
What can I say..I missed you guys.
...Ohhh here comes my song Good Things by Luck Dube

