kwa ilo zigo ni bola tumchangie mmoja zetu achomelee iwe moja tuweke heshima
kwa ilo zigo ni bola tumchangie mmoja zetu achomelee iwe moja tuweke heshima
Alaaa!Walinzi wasiopita lindo hukumu yenu inawangoja
Kipengele hiki! asitupange huyu shosti amejiedit.
Agiza chochote unywe kwakuweka hii song hapa.Wazee wa kurukaruka.....welcome + glass ya maji ya gold
Unasema? Kwahiyo watakao chelewa watapata lile jimbo letu la Mhe: Napeleo getini atakuwepo ADAM MCHOMVU walinzi watakao chelewa watakiona


Huku kupo njema, vipi za hapo kitandani ulipo mcuteHellow from this side
We unapenda adhabu mm nilikuwa ukitaka nisiende shule weka adhabu au fimbo unipati.![]()
![]()
Villain kumbe adhabu hukumbusha uwajibikaji eh
Mwangu zile za mwisho yale majina yote ulizonipa zilikuwa ni series kumbeHellow from this side

Shule za kata hizi zisizojua kama kupiga watoto ni kosa la unyanysaji wao ni wanapiga tu, wanajua wanawanyosha wanafunzi kumbe ndiyo wanaharibuWe unapenda adhabu mm nilikuwa ukitaka nisiende shule weka adhabu au fimbo unipati.
Salama kabisaHuku kupo njema, vipi za hapo kitandani ulipo mcute
Ulitaka series na movie yesMwangu zile za mwisho yale majina yote ulizonipa zilikuwa ni series kumbe![]()
Ila bhana kuna watoto wameshindikana aah ukisema usiweke mboko ni tatizo kabisa watoto wa saiz wanaenda shule na daftari mojaShule za kata hizi zisizojua kama kupiga watoto ni kosa la unyanysaji wao ni wanapiga tu, wanajua wanawanyosha wanafunzi kumbe ndiyo wanaharibu






Mambo mapya, za kupoteaSalama kabisa
Movie nilitaka ila saiz HDD ipo full nataka nimkabe mtu 100k ni chukue ExternalUlitaka series na movie yes