Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,787
Hujui asili yake so una haki ya kukaa kimya ama kuuliza..Unadhani anayeanika fedha hadharani na anayemuonya asifoke katika maisha ya kawaida jamii inampokea yupi? Huu msamiati hauna jinsia, kama wewe ni mwanaume ukampost mpenzi wako mzuri wenye wake wasio presentable wana haki ya kikatiba ya kuomba wasifokewe.
