Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,787
Acha ninywe tu kwanza at the end Mungu haangalii maini anachoangalia ni Moyo.Naona unachoma minyoo
Acha ninywe tu kwanza at the end Mungu haangalii maini anachoangalia ni Moyo.Naona unachoma minyoo
Ok mkuu, Enjoy your drink!Acha ninywe tu kwanza at the end Mungu haangalii maini anachoangalia ni Moyo.
Cheers !Ok mkuu, Enjoy your drink!
mkuu kesho tunalipiza nanenane?
Usitufokee!Kwanza uko wapi tumalizie hili fungu
Muda huu kuna tukio lishafanyika subiri kesho ulisome View attachment 1532646
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuwatisha mkuu
Kwanini lakini 😂😂😂Usitufokee!
Kwanini lakini 😂😂😂
We mjeda walinde ,mie nawaambia tu, hela ya bia ninayo ya police sinaAcha kuwatisha mkuu
Hiyo kauli siipendi. Kwanini watz tunakuwa so cheap kwa kauli za mitandaoni?!
Sijui imetokea wapi ,halafu mtoto wa kiume anaongea hivyoHiyo kauli siipendi. Kwanini watz tunakuwa so cheap kwa kauli za mitandaoni?!
Lugha inakuwa kila siku misamiati inaongezeka..kwa kuwa wewe hupendi kusikia neno fulani haina maana halitazungumzwa.Hiyo kauli siipendi. Kwanini watz tunakuwa so cheap kwa kauli za mitandaoni?!
We ulisikia wapii? 😆
Hahaha ujeda unatokea wapi mkuu?!!We mjeda walinde ,mie nawaambia tu, hela ya bia ninayo ya police sina
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli but it sounds awkward.Lugha inakuwa kila siku misamiati inaongezeka..kwa kuwa wewe hupendi kusikia neno fulani haina maana halitazungumzwa.