JamiiForums Usiku wa manane
Niliielewa japo siwapendi marvel waongo wamezidi
Captain yupo wapi baada yakurudisha ngao kazeeka lakini dunia nyingine kijana!

Captain ngao kamuachia Sam?

Stark amekufa nani ataongoza Avengers?

Natalia?

Doctor stranger kwann alimuambia stark achukue yale mawe na kwann stark alimwambia "hey buddy you said we will win 40 million then tell me now what is it" ?

Stranger akamwambia "if I tell you now what is it! Then akamwambia it won't happen?

Wale watu wa Guardian of the Galaxy ndio wananivuruga kabisa.

Inanichanganya inanivuruga acha tu.
 
Haha nimecheka jinsi ulivyoziita peds vipodo labda ndivyo vinavyoitwa kwa kiswahili fasaha. Whatever it is
Actually for me ni kawaida kumnunulia nimpendae chochote aniombacho kama kipo ndani ya uwezo wangu. I feel proud mwanamke akiniomba nimnunulie kitu, that's a one way of showing how I care about her kitu kuitwa "unachunwa" hiko kwangu hakipo ingawa kuna mipaka.
Binafsi nishanunua sana pedi hata kwa mdogo wangu wakuzaliwa tumbo moja.

it feels good kumnulia mwanamke pads akikuomba,nilikua namnulia rafiki yangu
 
Captain yupo wapi baada yakurudisha ngao kazeeka lakini dunia nyingine kijana!

Captain ngao kamuachia Sam?

Stark amekufa nani ataongoza Avengers?

Natalia?

Doctor stranger kwann alimuambia stark achukue yale mawe na kwann stark alimwambia "hey buddy you said we will win 40 million then tell me now what is it" ?

Stranger akamwambia "if I tell you now what is it! Then akamwambia it won't happen?

Wale watu wa Guardian of the Galaxy ndio wananivuruga kabisa.

Inanichanganya inanivuruga acha tu.
Captain si alikufa
 
Captain yupo wapi baada yakurudisha ngao kazeeka lakini dunia nyingine kijana!

Captain ngao kamuachia Sam?

Stark amekufa nani ataongoza Avengers?

Natalia?

Doctor stranger kwann alimuambia stark achukue yale mawe na kwann stark alimwambia "hey buddy you said we will win 40 million then tell me now what is it" ?

Stranger akamwambia "if I tell you now what is it! Then akamwambia it won't happen?

Wale watu wa Guardian of the Galaxy ndio wananivuruga kabisa.

Inanichanganya inanivuruga acha tu.
Hawa ni waongo ndo maana siwapendi bwana imeisha kwa ku force ndo maana mambo yakawa mvurugano
 
Back
Top Bottom