Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Fanya maajabu.Poa nitakuongeza
Fanya maajabu.Poa nitakuongeza
Niliielewa japo siwapendi marvel waongo wamezidiYes.
Captain yupo wapi baada yakurudisha ngao kazeeka lakini dunia nyingine kijana!Niliielewa japo siwapendi marvel waongo wamezidi



acha tu.Niliielewa japo siwapendi marvel waongo wamezidi
naikubali spider man tu tena ile part 1, mengine hua siangalii naborekaDaaaah aseeh sijawah amini ktk biashara ya ngono, heri niwe mpiga debe stand.
upo kama mimi aise,naikubali spider man tu tena ile part 1, mengine hua siangalii naboreka
Watu wa DC ndio wale wale tu GoddessHaha nimecheka jinsi ulivyoziita peds vipodo labda ndivyo vinavyoitwa kwa kiswahili fasaha. Whatever it is
Actually for me ni kawaida kumnunulia nimpendae chochote aniombacho kama kipo ndani ya uwezo wangu. I feel proud mwanamke akiniomba nimnunulie kitu, that's a one way of showing how I care about her kitu kuitwa "unachunwa" hiko kwangu hakipo ingawa kuna mipaka.
Binafsi nishanunua sana pedi hata kwa mdogo wangu wakuzaliwa tumbo moja.
Super man, batman nk...DC wapi huko mkuu washington au
Kwani huyu kiumbe hajapewa Ban bado



Kwani huyu kiumbe hajapewa Ban bado![]()
,ila ile picha nime save aisebado anepeta tu,ila ile picha nime save aise



Heshima yako mkubwa unataka kuifanyia nn hiyo kitu?Captain si alikufaCaptain yupo wapi baada yakurudisha ngao kazeeka lakini dunia nyingine kijana!
Captain ngao kamuachia Sam?
Stark amekufa nani ataongoza Avengers?
Natalia?
Doctor stranger kwann alimuambia stark achukue yale mawe na kwann stark alimwambia "hey buddy you said we will win 40 million then tell me now what is it" ?
Stranger akamwambia "if I tell you now what is it! Then akamwambia it won't happen?
Wale watu wa Guardian of the Galaxy ndio wananivuruga kabisa.
Inanichanganya inanivurugaacha tu.
Mm naona thor zina unafuu japo mauzauza mengi kaupo kama mimi aise,naikubali spider man tu tena ile part 1, mengine hua siangalii naboreka
Dc is life mwendo wa comics na animation movies hatutaki
Hichiqutitta sema kitu basi usipite kimya.

Hawa ni waongo ndo maana siwapendi bwana imeisha kwa ku force ndo maana mambo yakawa mvuruganoCaptain yupo wapi baada yakurudisha ngao kazeeka lakini dunia nyingine kijana!
Captain ngao kamuachia Sam?
Stark amekufa nani ataongoza Avengers?
Natalia?
Doctor stranger kwann alimuambia stark achukue yale mawe na kwann stark alimwambia "hey buddy you said we will win 40 million then tell me now what is it" ?
Stranger akamwambia "if I tell you now what is it! Then akamwambia it won't happen?
Wale watu wa Guardian of the Galaxy ndio wananivuruga kabisa.
Inanichanganya inanivurugaacha tu.
Hakufa captain alirudishwa mawe alafu akarudi amezeeka wakamtafuta Bucky na Sam wakamuona kumuona ndio alikuwa amezeeka sasa alafu ndio akampa shield sam ghafla akaonekana upande wapili anacheza blues na gal wake.!Captain si alikufa