Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Long time sijakuona uko poa lakini?
Long time sijakuona uko poa lakini?
Mm naona thor zina unafuu japo mauzauza mengi ka
Spider anabadilishwa daily
Swala ni mikataba hapo.Ndio vitu vyako hivyo.Dc is life mwendo wa comics na animation movies hatutaki
Sijui kwasababu ya Stan Lee kufaHawa ni waongo ndo maana siwapendi bwana imeisha kwa ku force ndo maana mambo yakawa mvurugano

Mmmmmh ni kinyume na mkataba, aaah wanakera sana hawa HELSB,Serikali sio wajinga kuwapa hiyo pesa wamepiga mahesabu yote ndio maana mmepewa hiyo 200k kuwa inakidhi mahitaji.
ni biashara isiyokuwa na dhuruma na ya haki kuliko zote hapa Duniani.




basi mie nipo kinyume chake lolAtajiju kama hajafaHakufa captain alirudishwa mawe alafu akarudi amezeeka wakamtafuta Bucky na Sam wakamuona kumuona ndio alikuwa amezeeka sasa alafu ndio akampa shield sam ghafla akaonekana upande wapili anacheza blues na gal wake.!
Mtanyooka, tutaelewana taratibu taratibu acha tuoneshane makali by Dr shikaMmmmmh ni kinyume na mkataba, aaah wanakera sana hawa HELSB,




Kwanza movie yote concept ni time travel tu hio na event itatokea 2023??! MauzauzaSijui kwasababu ya Stan Lee kufa![]()

Nisiposoma comics siku2 mfululizo napata homaNdio vitu vyako hivyo.
Nazani ushaanza kuja sasa unanielewa dot unaziunga vizuriAtajiju kama hajafa
Hii movie story mvurugano' utarudi spiderman far from home' winter soulder' infinity war' iron man' guardian of the galaxy' civil war II ya comic
Yani ili kuelewa lazima kuna matukio na watu uwakusanye huku kwingine ukawaweke pale na story zao ndo utarlewa
Kuanzia gamora' tony stark mpaka kufa' dogo aliekurpo lwenue funeral kule' kina steve na wengine





Mtanyooka, tutaelewana taratibu taratibu acha tuoneshane makali by Dr shika![]()







khaaaaahKwanza movie yote concept ni time travel tu hio na event itatikea 2023??! Mauzauza![]()
Upuuzi mtupu.Kwahyo bora usielew movie inaishia na cliffhanger wai![]()
![]()
Upuuzi mtupu.
Vp maisha yanaendeleaje huko Gotham CityNisiposoma vomics siku2 mfululizo napata homa



Acha tuoneshane makali sasa mtakula miongo saiv.khaaaaah
Mpuuzi sana huyu mzeeKwahyo bora usielew movie inaishia na cliffhanger wai


Shwari kabisa chini ya ulinzi wa justice leagueVp maisha yanaendeleaje huko Gotham City![]()
Tena bajeti ua mihogo imeshapangwaAcha tuoneshane makali sasa mtakula miongo saiv.




Unajua na dc wa mtu anaitwa Doctor Fate?!