We nipo mlinzi mwandamiziNpo hapaaaaah mlinzi wa zamuuuu, naona leo wananzengo wapo huko viwanjani kuslay weekend.
.uchomi nyama2355 hrs the base.. na bia yangu namalizia nkalale

Hahahaha, mm toka nichukue fomu nakurudisha, naona nazidi kukosa usingizi.lindo skuiz alina watu kabisa au wote mmenda kuchukua fomu
sina hela ya nyama mkuu... ni bia tu, nshakula ndizi nyama geto inatosha huku ji bia tu..uchomi nyama
sina hela ya nyama mkuu... ni bia tu, nshakula ndizi nyama geto inatosha huku ji bia tu..uchomi nyama
.hahaha saiv mpka waganga wote wameeenda kuchkua fomu bas we ukajichanganya kwenda kwa mganga nliechukua fomu alaf mnagombea jimbo moja mkuu unapotezwa chapHahahaha, mm toka nichukue fomu nakurudisha, naona nazidi kukosa usingizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Watakutoa rohoNiko lounge promotion nimenunua bia 16 Serengeti lite.. sijui nazimalizaje leo? Malaya wanantamani tu hapa.![]()


.taratbu unaisindikiza weekendsina hela ya nyama mkuu... ni bia tu, nshakula ndizi nyama geto inatosha huku ji bia tu.
Karibu mkuuTurn on the lights![]()
Hahahaha, j3 naita vyombo vya habari kuwa najitoa ktk kinyang"anyiro hicho ,hii sasa balaa.hahaha saiv mpka waganga wote wameeenda kuchkua fomu bas we ukajichanganya kwenda kwa mganga nliechukua fomu alaf mnagombea jimbo moja mkuu unapotezwa chap
Asante leo nipo mpaka saa 12 kabisa nashusha movie nyingi sana leo.Karibu mkuu