mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 20,455
- 36,446
Salama kabisaa, asanteWengine ndo tunaingia kwenye details zetu mamii.... Ila kama mmechoka powa ni wakati wakuwalinda nanyi Kama nanyi mlivyotulinda.
How have you been lakini?
Salama kabisaa, asanteWengine ndo tunaingia kwenye details zetu mamii.... Ila kama mmechoka powa ni wakati wakuwalinda nanyi Kama nanyi mlivyotulinda.
How have you been lakini?
Glad to hear that. You have been missed😊Salama kabisaa, asante
Hawa jamaa walitaka kunisanulia vitu ila sijui walikwama wapi?10?!ngoja wazame ghetto alafu we haupo ndo unajua 10 au 0. Hawaachi hata mfagio
![]()



@mama DSalama kabisaa, asante
Maeneo yenye ulinzi shirikishi hawagusi. Siku hizi wamebuni njia mpya huko maeneo ya uswahilini: wanachora ramani kama siku mbili tatu kabla then wanajikusanya kutoka maeneo tofauti tofauti alafu Kama wanafanya mazoezi vile ya jogging mida ya saa moja mbili hivi, wakiwa na visu, mapanga na nondo fupifupi. Wakikukuta unachochote wape, wakikuta duka wazi wamezama nakukomba hela, vitu hawachukui maana hawataki uzito😁.Hawa jamaa walitaka kunisanulia vitu ila sijui walikwama wapi?![]()
🙏Glad to hear that. You have been missed😊
Umeamka salama?
Salama kabisa mkuu. Sijui weweUmeamka salama?
Nashukuru, weekend nimeianza vyema.Salama kabisa mkuu. Sijui wewe
Hahahaha...nafanya ulinzi shirikishi huku mtaani.Huyu Stephen Chelu siku hizi yeye bize kulinda madera tu, bure kabisa!
Daaah we mtaalam itakuwa kitambo sana miaka iyo, em njoo kwanza pm tukumbushaneKama hivi nilivyoona post yako mkuu kama nakumbuka vile pale BMC ,DPS,K3, B2,B1 lakini nachapa mwendo😛