Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Sahau hizi habari kwangu mjini hatuhamkiani wote salamu moja hi, hi tunaendelea na mengine.Salimia dogo
Marahaba dogo 😜Hakuna shida, shikamoo sista
🤔Sahau hizi habari kwangu mjini hatuhamkiani wote salamu moja hi, hi tunaendelea na mengine.
Mm sijambooo ,najiandaa kwenda shuleMarahaba dogo![]()
Ahsante, mm huwa sisikilizi musicKaribu kusikiliza.
88.5![]()
Nimekukaribisha kusikiliza radioAhsante, mm huwa sisikilizi music
Hahahaha, ukifika muda wa BBC ndio nasikiliza radioNimekukaribisha kusikiliza radio
Tafuta original yake ukijua maana ya PDF usingefanya ulichofanya.Hivi document ikiwa kwa PDF haiwezekani kuedit?
Ni doc ambayo nilihiitaji kwa Microsoft word ila uvivu huu nikaamua kuscan, sasa ngoma inafunguka kwa PDF as picture na kuedit nashindwa![]()
Jamani shule njema, usome kwa bidii eehMm sijambooo ,najiandaa kwenda shule
HahahahaTafuta original yake ukijua maana ya PDF usingefanya ulichofanya.
Ahsante, Sista naomba nauli ?Jamani shule njema, usome kwa bidii eeh
OG ya nini niitafute? Me nilitaka short cut that's why nikafanya nilichofanyaTafuta original yake ukijua maana ya PDF usingefanya ulichofanya.
Nauli tu au na hela ya vishetiAhsante, Sista naomba nauli ?
EeehNauli tu au na hela ya visheti
Nyie mnaokataa shikamoo ndiyo mnakuwaga watu wazima vileja 😆Ndivyo ilivyo hivyo shikamoo ni kuzeeshana![]()
Pole.OG ya nini niitafute? Me nilitaka short cut that's why nikafanya nilichofanya
Haya nitakupitishiaEeeh
Haijapooza kitu.Pole.