Si unajua tena Weekend vibaka nao wanakuwa kazini. Walinzi tumelelekeza nguvu zote kwenye lindo. 😁Leo lipo doro sana.
@yna2 umeamka?5:04
Mzee weekend ndio kujiwe huwa kinachangamka maana hakuna commitment kivile. Ila leo wana wamepotea sana.Si unajua tena Weekend vibaka nao wanakuwa kazini. Walinzi tumelelekeza nguvu zote kwenye lindo.![]()
Ndiyo@yna2 umeamka?
Afadhali tuwe wote maana niko alone hapaNdiyo
😃😃Afadhali tuwe wote maana niko alone hapa
Ulikuwa halftime bila shaka. Wakubwa wanafaidi
Nakuacha Sasa hivi.
😂😂😂😂Ulikuwa halftime bila shaka. Wakubwa wanafaidi
Aah wapiii..leo sikua halftime majukumu tu


naamini maneno yako. Have a wonderful dayKwako pia mpendwa..byenaamini maneno yako. Have a wonderful day
Huo uzinzi sidhani kama ni level ya kawaida. Maana hata mapadre wamezoea hayo maungamoUzinzi mtupu anaungama hapo
![]()
Wewe unahisi anaungama dhambi gani? uzinzi inaweza kuwa kabaka! nkHuo uzinzi sidhani kama ni level ya kawaida. Maana hata mapadre wamezoea hayo maungamo