Hapana.
Sijawahi vuta na sitowahi
Lakini nina marafiki wa kike na kiume wanapuliza.
Na ni very reputable person.
Kuna wakati huwa nawaambia "we mjinga wangejua unapuliza bangi wasingekupa hiyo nafasi"
Vijana watatu naofanya nao kazi wanapiga bange na ni wako poa tu.

Hapa yenyewe mda huu kuna watu wanapuliza bange.
Pengine ni kwa vile hawataki tu kuungana na Msukuma kuitetea iwe legalised
Sijawahi kuona madhara ya bange ila madhara ya unga nayaona mara kwa mara na unga ushaharibu maisha ya best student wetu shule ya msingi.
Mbaya zaidi alikuwa ni yatima aliyelelewa dogo dogo centre.