JamiiForums Usiku wa manane
Nimekuelewa sana na nilikuwa nakuzingua tu.. Embu nipe huo umbea hata pm basi.
Maana jf ndo sehemu pekee ambayo watu wanakujua kuliko unavojijua.
Unaweza wakuta wanajadili na wewe ukachangia kumbe ndo muhusika mkuu.
hahhaaa umesahau kusema kua hata ww unaweza kua katika waliwao..


anyways kwakua nko hai, ngoja nigusie kidgo.

kuna mwanangu flani hvi alikua na ID ya ajabu ajabu akapost pic ya unga(madawa ya kulevya) ila wakamfatilia sana, from humu jf mpka wakampata, 2019 katikati wakamtia kichapo akataja chain yake wakadabwa kibao. hiyo ndo sababu kuu mwaka huu nikaja na ID nyingine.. kwahyo anything that isnt allowed nationally kwangu ni mwiko kupost.. nmejifunza.
 
hahhaaa umesahau kusema kua hata ww unaweza kua katika waliwao..


anyways kwakua nko hai, ngoja nigusie kidgo.

kuna mwanangu flani hvi alikua na ID ya ajabu ajabu akapost pic ya unga(madawa ya kulevya) ila wakamfatilia sana, from humu jf mpka wakampata, 2019 katikati wakamtia kichapo akataja chain yake wakadabwa kibao. hiyo ndo sababu kuu mwaka huu nikaja na ID nyingine.. kwahyo anything that isnt allowed nationally kwangu ni mwiko kupost.. nmejifunza.
Hivi bangi na unga ni sawa? Binafsi bangi nishaiona sana watu wengi wanatumia ninaijua hata ikiwa mbali.

Na si watu kama wanavyoielezea "kama vile watumiaji ni watu wa hovyo hovyo" hapana ninaowajua na wanaopuliza mbele yangu ni watu wenye dhamana zao serikalini.

Hapa nilipo mda tumekaa sehemu wanapoza koo na ganja juu lakini unga hapana aiseeee ni ishu ingine kabisa.

Huyo jamaa yako alikuwa na mambo ya ajabu kupost unga ntandaoni?

Alikuwa ameranduka mno au labda ushamba mzigo aliona anajifaragua.

Bangi na unga ni tofauti aise kupost unga mtandaoni ni dharau kwa mamlaka.
 
Hivi bangi na unga ni sawa? Binafsi bangi nishaiona sana watu wengi wanatumia ninaijua hata ikiwa mbali.

Na si watu kama wanavyoielezea "kama vile watumiaji ni watu wa hovyo hovyo" hapana ninaowajua na wanaopuliza mbele yangu ni watu wenye dhamana zao serikalini.

Hapa nilipo mda tumekaa sehemu wanapoza koo na ganja juu lakini unga hapana aiseeee ni ishu ingine kabisa.

Huyo jamaa yako alikuwa na mambo ya ajabu kupost unga ntandaoni?

Alikuwa ameranduka mno au labda ushamba mzigo aliona anajifaragua.

Bangi na unga ni tofauti aise kupost unga mtandaoni ni dharau kwa mamlaka.
Unga wa nini Rafiki?
 
2.3346619580638403E18.jpg
 
Hivi bangi na unga ni sawa? Binafsi bangi nishaiona sana watu wengi wanatumia ninaijua hata ikiwa mbali.

Na si watu kama wanavyoielezea "kama vile watumiaji ni watu wa hovyo hovyo" hapana ninaowajua na wanaopuliza mbele yangu ni watu wenye dhamana zao serikalini.

Hapa nilipo mda tumekaa sehemu wanapoza koo na ganja juu lakini unga hapana aiseeee ni ishu ingine kabisa.

Huyo jamaa yako alikuwa na mambo ya ajabu kupost unga ntandaoni?

Alikuwa ameranduka mno au labda ushamba mzigo aliona anajifaragua.

Bangi na unga ni tofauti aise kupost unga mtandaoni ni dharau kwa mamlaka.
yeah uko sahihi mkuu, ila kitu kdgo kinakuzwa kulingana na status yako, nakumbuka mwaka jana nlikamatwa REDHANDED na bangi pale kahama, nlikamatwa na polisi mida ya saa 7 usiku kulikua na chimbo nlipelekwa inaitwa ZE FOX it costed mile 3M .. kesho yake nlikua na kikao kazini by all means sikutakiwa kukikosa tena kwa kulala selo, hapana mkuu... bangi imekua poa casually tu ila katika dola japo wao pia wanatumia hua wanatukazia sisi wakereketwa. ndo mana sitaki kuacha traces!. .
 
Back
Top Bottom